Bungeni: Shibuda aongelea hatma yake ndani ya CHADEMA!

Bungeni: Shibuda aongelea hatma yake ndani ya CHADEMA!

<font color="#a52a2a"><b>CDM hawakumsaidia chochote Shibuda kushinda Maswa, na wakimtoa CDM hata wafanye nn jimbo hawalipati n'go. Na niwajuavyo wasukuma hakuna mtu wa CDM atakae ruhusiwa kukanyaga Maswa na ndio utakuwa mwisho wao. Ndio maana jamaa anawaendesha atakavyo kwani mkimwaga ugali yeye anamwaga mboga</b></font>
<br />
<br />

Bora kukosa jimbo.
 
Shibuda kakataa kuwa mateka wa Mbowe na a loser Dr Slaa, kama wanaweza wajaribu kumfukuza waone
 
Aisee huyu jamaa simpendi kuliko wabunge wote wa magamba.
Wewe hata usipompenda kimpango wako hata yeye hana shida na wewe.
Shibunda anapendwa na wana Maswa waliompigia kura
 
<font color="#a52a2a"><b>Wakati Shibuda anaongea wabunge wote wa CDM walikuwa wapole kama wananyolewa, kwa kweli amewachana chana viongozi yeye aliyewaita viongozi maslahi ya CDM. Sidhani km huko dodoma leo hawa jamaa watalala, amewaumbua ile mbaya mpaka aibu !</b></font>
<br />
<br />
chizi avuapo nguo ni nani aumbukae?hatusumbui ila kwako weye shogae
 
Kama hujuwi siasa za Maswa acha kudanganya watu hapa jamvini. Shibuda alikuwa maarufu hata kabla ya CDM. CCM inawezekana walimtoa kwa majungu ya zile siasa za majitaka . Na swali lingine ambalo lazima ujlize kwa nini wagombea ubunge wote waliosimamishwa na CDM ni wabunge kama 30 tu Tanzania nzima waliopita? Msimuanderestimate mtu kwa sababu ametofautiana na wachache humo ndani. Hivyohivyo milmfukuza WangWe hadi sasa jimbo la tarime limeondoka.
<br />
<br />
naamini jimbo si haki miliki ya mtu, chama wala kikundi fulani cha watu, please magnify your picture of constituency upstanding!
 
Kwa kauli zile Shibuda alikuwa anajaribu kujihami ili asifukuzwe, lakini CDM lazima itamfukuza. Aliposema haogopi chochote, nimemkumbuka marehemu Saddam Hussein ambaye awali alitamka kwamba haogopi kunyongwa lakini saa ilipofika alitapatapa sana, mara oooh naomba maji ninywe, naomba kitabu kitakatifu, naomba niongee na watu wangu n.k. Siku ikifika tutajua kama kweli haogopi lolote kama alivyosema.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
kabla ujasema point mek sur ni ukwel hujamuelewa Shibuda na mchana umefanya mpk wana cdm 2comment vbaya uchonganish c mzur<br />
Elewa point sawa sawa,jibu point sawa sawa na utoe maoni sawa sawa c kubabaisha<br />
Ni kwako na wote walio msoma wrong Shibuda
<br />
<br />
Shibuda mwingine huyoo katoka usingizini. Haya kasemaje tuambie wewe sasa.... Au unataka niandike speech yake ya dk10 nzima utadhani sina kazi ya kufanya sio? Hiyo ni summary, short and clear wadau wote waliocheki wataprove hilo, labda wewe umecheki channel yako peke yako au mradi uandike tu na useme. Aahkh tafadhali usilete umasaburi watu wako serious hapa.
 
Kwa upande wangu mie naona ni bora kupoteza jimbo kuliko kubakia na huyu mzee mzushi,mwanga na mnafiki chadema wanatakiwa wafanye maamuzi magumu kumtimua huyu **** kama wale mafala wengine wa arusha,by the way hata wale madiwani wa arusha walichonga kama yeye anavyochonga so we're waiting and i hope he dont have more days there he is on the way to say bye bye the bunge!!!
 
Five star Modern Taarabu bado nafasi zipo wazi, Jamaa anaweza chuana na Mzee Yusufu duh mwanaume maneno yamemtoka vuvuzela yeye

hafai kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa

zaidi zaidi aanzishe chake awe na full mandate kama Mrema na Tlp au Kakobe na Fgbfc
 
shibuda kashinda maswa kwa nguvu zake chadema kama chama imepelekwa na shibuda hata akitoka leo cdm aende TLP, NCCR, CUF au arudi CCM, atashinda tu. ndio maana ana jeuri.

Yeye kama anazo nguvu basi asubiri cha mtema kuni kwani amekalia kuti kavu wakati wowote litakatika nae ataanguka. CDM wako sawa na wana maamuzi sahihi huyu ni wa kufukuza kama mbwa na Mwenye nguvu maswa ni Kasulumbayi ni si Shibuda kwani alishginda kwa kura za huruma kutokana na hujuma alizofanyiwa na ccm pia mgombea wa ccm alikuwa anatuhumiwa kwa wizi wa pesa za pamba (ndio huyu aliye nunua UDA kinyemela)
 
Nna mpango wa kuanzisha chama changu ambapo watu kama shibuda ntawafukuza kama kuku, mbwa kabisa.
 
Leo ndio nimeamini John Shibuda, ni mtu wa shoka mpambanaji.
Kakataa kabisa kuwa Mateka wa Mbowe na a loser Dr Slaa, kawambia ukweli yeye kawekwa na wananchi wa Maswa sio viongozi wachache wa CDM walioweka mbele maslahi yao binafsi

Inawezekana forum aliyotumia si sahihi ama ni sahihi. Sijui angesemea wapi haya maneno ili nasi tuyasikie? Angesema wakati anahojiwa na Kamati Kuu ya CHADEMA ama angeitisha mkutano na waandishi wa habari? Iwavyo vyote mimi namheshimu Shibuda kwa ukweli wake ambao huwa hamezi maneno. Kwa hiyo CDM imfukuze Shibuda kwa kutofautiana na msimamo juu ya posho? Msimamo wa CDM juu ya posho ni upi? Ule ulikuwa msimamo wa Zitto na Mbowe (Hammer na Vogue) na haukuwa msimamo wa akina Shibuda, Mnyika, Sugu, Selasini, Mtema, Msigwa na wengineo wengi tu. Tatizo la Shibuda ni kwamba hakutaka unafiki ila wengine wamekaa kimya kinafiki tu.

Nyekundu: pia kumbuka hakuna ubunge kama sio mwanachama wa chama cha siasa kilichosajiliwa!!


Kijani: mkuu haupo sahihi; suala la posho ni mojawapo kati ya sera za CHADEMA, tena wao kwenye ilani yao wameenda mbali zaidi ya posho za vikao tu...wanasema juu ya kubadilisha mfumo wa utoaji posho kwa watumishi wa umma! Hili si suala la Zitto wa Mbowe.

 
  • Thanks
Reactions: jcb
Shibuda is playing pre-emptying, anachofanya ni kama vile eti anapredict ili ikitokea apate sympathizers wengi na hasa wapiga kura wake. The guy is playing a hostage-takers game kwamba this is what I need (nibaki salama) otherwise I am gonna do 1, 2,3 ....

Moja kwa kwa moja inaonyesha how insecure he feels, dawa ya mtu kama huyu ni kumwacha ndani ya hali hiyo ya kufeel insecure. As an advise to Prof. Safari anyeshughulikia hii ishu just make the status of uchunguzi: IN PROGRESS, ON GOING or UNTIL FURTHER NOTICE hata for a year, ni adhabui kubwa mno kwa watu wa namna hii.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
ah ah ah cdm ni noma watamtupilia mbali na mambo yatasonga mbele na jimbo watachukua huo ndo ukweli
 
CDM hawakumsaidia chochote Shibuda kushinda Maswa, na wakimtoa CDM hata wafanye nn jimbo hawalipati n'go. Na niwajuavyo wasukuma hakuna mtu wa CDM atakae ruhusiwa kukanyaga Maswa na ndio utakuwa mwisho wao. Ndio maana jamaa anawaendesha atakavyo kwani mkimwaga ugali yeye anamwaga mboga
kama sikosei shibuda alishinda ubunge kwa kura moja
 
Shibuda ana kauli tata sana. Kadhalika anajua aume na kupuliza vipi. Kingine ni kuwa ni mtu anayejiamini sana, hata wakati fulani kufikia hatua ya kuwania urais. Mtu kama huyu kwa kiasi kikubwa ni rasilimali. Cha msingi mmiliki wa hiyo rasilimali awe na akili mbadala. Ya nini utumbo utupwe? Nimemsikiliza shibuda kwa kitambo sasa nikagundua jambo. Kwa nini aipende ccm? Kwa nini atumike kama pandikizi. Kuna nukuu moja inasema, 'belief has always been the enemy of truth; yet, ironically, if our minds are supple enough, belief can sometimes open the door. Dawa ya shibuda si kumfukuza, ni kumtumia. Cdm ijifunze toka Arusha. Mchakato wa kumtimua shibuda si mdogo. Kwa misingi hiyo cdm iangalie opportunity cost ya kuwa ama kufikiri kumtimua
 
May be ni uchanga wa siasa zetu ndio maana tunalikuza sana hili jambo.
USA wabunge wa Obama wanampinga live bungeni, lakini kwa bongo ni usaliti lol...
 
Shibuda alitumwa na ccm kuivuruga cdm. "It is a ccm trick to weaken cdm" ebu fikiria, spika alikataa maelezo nje ya mada iliyokuwepo mezani kwa wabunge wote. Alipokuwa anaeleza huyu ***** msukuma shinyanga, spika aliiona ni sahihi. Hii moja kwa moja inaeleweka hivyo. Kwanini lisiwajibishwe hili lisaliti?
 
Back
Top Bottom