Hahahaa, ni sawa na huku kwetu Sikonge, mtoto akiachia uchuzi wakati wa Chakula na anasema "Kimeniponyoka".
Ila kwa Kinyamwezi huwa ina-Sound vizuri sana. Sasa sijui yeye kaomba msamaha kwa lugha gani.
Kinyamwezi angelisema "Kanfyumpuluka......"
Kaunga ,
KIKUNGU , @ELNINO ,
St. Paka Mweusi ,na wengine mnasemaje? Nimepatia?