piper
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 3,253
- 612
Ni aidha huwa umelala au umevaa miwani ya mbao, Mh. Msigwa km walivyo wabunge wengi wa CDM huongea pointi zenye maslahi kitaifa, ishu ya ujengaji chuki na polisi cyo polisi wote ni wabaya na CDM ingawa mi cyo msemaji wao huliongelea hlo cku zote, ni amri za magamba na wakubwa wa polisi ndo zinazowachonganisha na wananchi na cyo CDM pekee yake