Bungeni: Mjadala mkali waendelea!

Bungeni: Mjadala mkali waendelea!

Mtende

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2010
Posts
6,385
Reaction score
7,335
naona wabunge wameanza kuendeleza munkari wao wa jana,hebu ngoja tuone mchakato unavyokwenda
 
Wabunge wa CCM hawapo mjengoni. wapo sita tu, wengine bado wapo kwenye kikao chao cha chama.
 
Naona Mbowe analalamika kuwa wabunge wa CCM wamekimbia wameacha wapo kwenye kikao..na anasema dawa ya nchi hii ni ku overhaul the government
 
Naona Mbowe analalamika kuwa wabunge wa CCM wamekimbia wameacha wapo kwenye kikao..na anasema dawa ya nchi hii ni ku overhaul the government

na deni la serikali limeongezeka kutoka trilion 10-14,hivi hii serikali inawaza kupitia makalio au?
 
Wabunge wa CCM hawapo mjengoni. wapo sita tu, wengine bado wapo kwenye kikao chao cha chama.

duuh inaelekea huko kwenye kikao cha chama mambo yamekua mazito
 
Hao wabunge wa magamba hawajui kuwa bunge ni muhimu kuliko vikao vyao,waje upesi bungeni na kikao cha bunge kikiisha warudi kwenye hicho kikao,kikao chenyewe unaweza kukuta wanaambiwa wasiishambulie serikali la sivyo watavuliwa uanachama wa magamba.
 
SHEREHE ZA UHURU ZIMETUMIA BILION 56, hivi inakuja akilini kweli?
 
nyumba yawaziri wa afya imekarabatiwa kwa shilingi milion 480 mi naandamana
 
Hao wabunge wa magamba hawajui kuwa bunge ni muhimu kuliko vikao vyao,waje upesi bungeni na kikao cha bunge kikiisha warudi kwenye hicho kikao,kikao chenyewe unaweza kukuta wanaambiwa wasiishambulie serikali la sivyo watavuliwa uanachama wa magamba.

nadhani wanaonywa kuhusu kuikosoa serikali
 
shule hazina vidawati wala vikalio
Alafu serikali inafuja pesa
 
Back
Top Bottom