Bungeni: Mama Salma Kikwete aiomba Serikali kurudisha sarafu za Senti 5, 10, 20 na 50 zitumike kufundishia

Hakika hii hoja siyo tu ni kichekesho, bali inäonyesha jinsi Mh. Mbunge wa kuteuliwa, Salma Jakaya Mrisho Kikwete alivyo so ignorant licha ya elimu, social status, life opportunities na broad intellectual exposure at the highest level aliyo nayo. Swali la muhimu ni kwanini hakutumia influence yake kwa mumewe moja kwa moja akiwa kama mke wa Rais kipindi kile kufanikisha hayo anayodai?
 
She has her point. It is one way of viewing an issue. The fact is that we see her as part of the former presidence which elevates her to the level that her position in the parliament becomes untenable
 
kama hayo ndiyo malengo ya kuwepo currency basi warudishe na zile za East African Currency Board na zilr Rpia za mjerumani.Mawzo mengine Jamani mwaka 47!
 
Mbunge wa Viti Maalumu, Salma Kikwete (CCM), ameiomba Serikali kurudisha kwenye mzunguko sarafu za senti tano, 10, 20, 50 na Sh moja ili zitumike kama zana za kufundishia shuleni kwa kuwa waliozaliwa miaka ya 1990 na kuendelea hawazijui.


Hivi prof maji marefu yupo! Dah ccm wanatutesa na wabunge wao wanaotuletea
 
Mbunge wa Viti Maalumu, Salma Kikwete (CCM), ameiomba Serikali kurudisha kwenye mzunguko sarafu za senti tano, 10, 20, 50 na Sh moja ili zitumike kama zana za kufundishia shuleni kwa kuwa waliozaliwa miaka ya 1990 na kuendelea hawazijui.

 
Mbunge wa Viti Maalumu, Salma Kikwete (CCM), ameiomba Serikali kurudisha kwenye mzunguko sarafu za senti tano, 10, 20, 50 na Sh moja ili zitumike kama zana za kufundishia shuleni kwa kuwa waliozaliwa miaka ya 1990 na kuendelea hawazijui.


Mbunge wa Viti Maalumu, Salma Kikwete (CCM), ameiomba Serikali kurudisha kwenye mzunguko sarafu za senti tano, 10, 20, 50 na Sh moja ili zitumike kama zana za kufundishia shuleni kwa kuwa waliozaliwa miaka ya 1990 na kuendelea hawazijui.


Mbunge wa Viti Maalumu, Salma Kikwete (CCM), ameiomba Serikali kurudisha kwenye mzunguko sarafu za senti tano, 10, 20, 50 na Sh moja ili zitumike kama zana za kufundishia shuleni kwa kuwa waliozaliwa miaka ya 1990 na kuendelea hawazijui.



Tusimshambulie sana. Kuna swala la ukomo wa kufikiri, lakini pia kuna swala la nostalgia katika hii hoja ya mheshimiwa. yote kwa yote kuna hoja za hovyo zaidi zinazoletwa bungeni na wabunge na hasa na serikali yenyewe na zinapita. Hata ile hoja ya mama jk kuhusu headphones zinazopasua ngoma za masikio ilikuwa na mashiko sana ila ilikebehiwa na kupuuzwa.

Nishauri kuwa alichopendekeza mama kikwete kinawezekana babisa kama serikali itaamua kutoa sifuri mbili katika tarakimu za hela yetu, kwa mfano, shillingi 10,000 ikawa shillingi 100. Shillingi 100 ikawa shilingi 1. Tanzania itakuwa siyo nchi ya kwanza kufanya hivyo na hata itapendeza zaido ukizingatia thamani ya hela yetu ilivyokuwa ndogo.
 
Back
Top Bottom