Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,097
Mbunge wa Viti Maalumu, Salma Kikwete (CCM), ameiomba Serikali kurudisha kwenye mzunguko sarafu za senti tano, 10, 20, 50 na Sh moja ili zitumike kama zana za kufundishia shuleni kwa kuwa waliozaliwa miaka ya 1990 na kuendelea hawazijui.