Mkuu mbona huku kwetu TBC imepotea ghafla??
Mkuu shukrani sana. Nimeingia kwenye hii link ya radio Arusha Mambo FM, mambo ni mswano!
Mbona ni maswali na majibu kwa PM na swali la kwanza limeulizwa na KUB?
Ee bwana Eeeeh! Duh! Hii Arusha Mambo FM naipata clear kabisa hapa ofisini!
poa sana