Wewe haitwi tena Mh. Mnyika kuanzia jana hansad za bunge zimemuandika Mh. Washwa washwa, kwa hiyo kitu kinacho washa dawa yake ni kukunwa tu, ila ni kweli Mh. Washwa washwa anatafuta umaarufu sio siri
Umaarufu upi wakati hadi wewe unamfahamu Mnyika ni maarufu hata kabla hajawa mbunge! Kuwa ccm siyo ticket ya kutokufikiri sawasawa, mnajidhalilisha! Mtu anaongea mambo ya msingi wewe unasema anajitafutia umaafu, kwa nani sasa! Hii dhambi mnayoitenda CCM itawatafuna hadi kifo chenu!
Wewe haitwi tena Mh. Mnyika kuanzia jana hansad za bunge zimemuandika Mh. Washwa washwa, kwa hiyo kitu kinacho washa dawa yake ni kukunwa tu, ila ni kweli Mh. Washwa washwa anatafuta umaarufu sio siri
Nadhani wewe ndo wa kukunwa maana hujui mpaka leo kuwa Mh Mnyika ni maarufu zaidi ya mkweo,hizi kauli za watu kutafuta umaarufu zinatolewa na watu waliokufa akili tu.na mara nyingi viongozi wa bunge wanatoa kauli za kutafuta umaarufu pale wanapoona wanazidiwa na hoja NZITO zinazotolewa na vijana makini kama Mnyika.
Hao PCCB hawaruhusiwi kufungua shitaka/kesi Mahakamani bila "ruhusa" ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP). Usifikiri hata siku moja kuwa hao PCCB wako huru kama tunavyodanganywa na wanasiasa wetu. Tz tuna tatizo kubwa la mifumo yote.
Wewe haitwi tena Mh. Mnyika kuanzia jana hansad za bunge zimemuandika Mh. Washwa washwa, kwa hiyo kitu kinacho washa dawa yake ni kukunwa tu, ila ni kweli Mh. Washwa washwa anatafuta umaarufu sio siri
ww kama huna utitiri kwenye kichwa chako ,una viroboto...Kwa akili yako ya kimagamba upumbavu wa jana bungeni ndo unaushabikia ..badilika usiwe kama mende ukugeuka basi ndo mwisho wako wa kuishi.....come up ..
Wanabodi!
Katika kikao cha leo cha Bunge linaongozwa kwa taarifa kila akiongea au kuchangia hoja kinachofuata ni taarifa je hizi taarifa zina jenga au tija kwa umma?
Wewe haitwi tena Mh. Mnyika kuanzia jana hansad za bunge zimemuandika Mh. Washwa washwa, kwa hiyo kitu kinacho washa dawa yake ni kukunwa tu, ila ni kweli Mh. Washwa washwa anatafuta umaarufu sio siri