Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,169
Ndugu Lukuvi anawasilisha hoja ya serikali kufanya mazungumzo na NSSF ili wajenge ofisi ya kila mbunge jimboni na ameinda zaidi kwa kusema mbunge ni taasisi hivyo kuna haja ya kila mbunge awe na wasaidizi wake wanne ambapo serikali inategemea kuajiri mwaka huu wa fedha kilichonishangaza pale aliposema wataajiriwa kwa matakwa ya mbunge.
Hoja yangu wabunge wenyewe hawapo ktk majimbo yao pia kama suala ni la ofisi si apewe nafasi katika halmashauri husika ili awe karibu na halmashauri ya wilaya kwa kuhoji utendaji wa serikali ya mitaa.
Kuhusu kuajiri wafanyakazi wanne wa mbunge, kila kata ina diwani ambae ni mwakilishi wa wananchi katika kata husika hivyo kwanini kusiwe na utaratibu wa kuangalia shida hizi za wananchi kama team kuanzia kwa madiwani pia mbunge akipata nafasi anakwenda kusikiliza wananchi, naomba kuwakilisha ndugu wana JF.
Hoja yangu wabunge wenyewe hawapo ktk majimbo yao pia kama suala ni la ofisi si apewe nafasi katika halmashauri husika ili awe karibu na halmashauri ya wilaya kwa kuhoji utendaji wa serikali ya mitaa.
Kuhusu kuajiri wafanyakazi wanne wa mbunge, kila kata ina diwani ambae ni mwakilishi wa wananchi katika kata husika hivyo kwanini kusiwe na utaratibu wa kuangalia shida hizi za wananchi kama team kuanzia kwa madiwani pia mbunge akipata nafasi anakwenda kusikiliza wananchi, naomba kuwakilisha ndugu wana JF.