Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
Mbunge anapewa mkataba anausoma chini ya ulinzi Kafulila
Mwekezaji kanunua mitambo kwa Mil 900 kauza kwa Bil 4...
tosuue mwe, tumekufa kwakweli!
Mkuu nakupa salamu za shukrani kutokana na hii linkWabunge wameanza kikao cha Jioni kujadili taarifa za Kamati tatu za Bunge, Kamati ya Hesabu za Serekali, Mashirika ya Umma na Serekali za Mitaa. Jumla ya Wabunge 51 wameomba kuchangia.
Silikiza kupitia TuneIn Web Tuner
Kindly LIKE Tunein page ikifunguka.