FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
Imefikia sasa tamko litolewe
hali inatisha na kusikitisha ,Zile huduma za Emergency zilizokuwa zikitolewa hazipo tena
Madaktari wa Jeshi nao wanadai hakuna Vifaa,Hivyo vifaa vilivyokuwa vikitumiwa na madaktari wengine vimeenda wapi?
OOh me ,Nimeangalia habari TBC kwa huzuni sana ,ni lazima ufumbuzi wa hili utafutwe haraka iwezekanavyo.
Sio wote tuna uwezo wa kutibiwa katika Hospital Binafsi
hali inatisha na kusikitisha ,Zile huduma za Emergency zilizokuwa zikitolewa hazipo tena
Madaktari wa Jeshi nao wanadai hakuna Vifaa,Hivyo vifaa vilivyokuwa vikitumiwa na madaktari wengine vimeenda wapi?
OOh me ,Nimeangalia habari TBC kwa huzuni sana ,ni lazima ufumbuzi wa hili utafutwe haraka iwezekanavyo.
Sio wote tuna uwezo wa kutibiwa katika Hospital Binafsi