Bungeni: Julai 26, 2012

Bungeni: Julai 26, 2012

Leo hii spika Makinda ameunga mkono kauli ya mh. Wenje kuwa unatumika muda mwingi kutambulisha wageni bungeni.Kauli hii ya mh.Spika ni kinyume na kauli aliyoitoa naibu spika siku chache zilizopita baada ya mh.Wenje kuomba muongozo wa naibu spika Ndugai kuwa huwa unatumika muda mwingi kutambulisha wageni.Hata hivyo ktk majibu yake mh.Ndugai alipuuzia hoja hiyo na kusema huo utaratibu uko sahihi.Lakini leo mh. Spika ameunga mkono kauli hiyo ya mh. Wenje na kutaka kanuni za kutambulisha wageni zizingatiwe.
 
Wamiliki wa majimbo ni wananchi wenyewe na sio mbunge/wabunge. Kila mtanzania ana haki ya kwenda mahali popote na kuongea na yoyote, Anne Kilango asome katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa makini. Mwaka jana yeye mwenyewe Kilango alikuwa Kiwira akifanya campaign, kama wenyeji wa huko wangekuwa na mtazamo kama wake asingetakiwa awe huko Kiwira. Na huu uwoga unatoka wapi kama umefanya kazi vizuri?

huyu mama akamuuluze Nape huko majimboni anafanya nini
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Acha kupotosha!!
Msigwa,hajaongelea MAKANISA! Alichouliza,ni amri iliyotolewa ya kuto kuruhusu Mahoteli kuuza chakula na vinywaji mchana,au watu hata ambao si waislamu kula chakula hadharani,mchana! Wala hakutaja UKRISTO!
hapa mambo yatakuwa yanatuchanganya na bila ya kutumia busara tutaharibu kila kitu.
Zanzibar inategemea utalii na inaendelea kuwekeza zaidi huko, sasa kwa swali la Mh. Msigwa bila shaka linajikita hapa.
Lakini pia tukumbuke na kujiuliza kati ya 'Uislamu' wa Saudi Arabia na Falme za Kiarabu (Dubai) kwa jinsi haya mambo yanavyofanyika. Kama kweli Wazanzibar (kama ninavyosikia wakisema) wanataka kupageuza znz kuwa kama Singapore ni lazima waangalie maamuzi hayo kwa umakini

 
Serikali haina Dini sasa ni kwanini kuna upande unaonesha kuwa serikali ina dini kiasi cha kuingilia uhuru wa kula, kuvaa na hata kuabudu it is wrong I think the PM should apologise. You cant segregate your children for the sake of Religion. PM please tell us where is the christians rights if they are denied to eat at a time like this!!!
 
Asimame mbunge wa upinzani naye aulize ni sawa Mawaziri kuhutubia mikutano ya chama na kueleza ufanisi wao?
 
Back
Top Bottom