Lusinde Livingstone, Mbunge wa CCM Mtera aliposema milango ifungwe haikuwa hoja. Akisema Lema ni CDM!
Sio kweli,tulimsema sana hapa JF huyo lusinde hata lema pia hakutenda haki kwa mbunge tunajemtegemea kuropoka kunamshushia heshima kwanini wasijifunze kwa dr.Slaa,alikuwa anajipanga,uthibitisho wa kutosha na vielelezo hata walikuwa wanashindwa kumkosoa