Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Itakuwa rahisi kuwaeleza watu gani? Machizi ambao hawajui mbunge wa mtera alisema nini mwezi February au? Vipi dvd ya mbunge wa mtera imegoma kutengenezeka au? Endeleeni kuingia choo cha kike mbele ya macho ya wananchi, itaendelea kula kwenu hadi mshangae.
Mbona unapanic? Subiri labda na wewe utapata safari ya kumsindikiza the Hague.