Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
Jana Mh. Godbless Lema alidhihirisha kile watu wengi wanachokihofia kuhusu Chadema, pale alipotaka milango ya bunge ifungwe na badala yake washindane kwa ngumi badala ya hoja!
Kweli Chadema ni hamnazo!
==============
Moderator's note:
Aliyetoa kauli hii inadaiwa si Lema wala mbunge wa CHADEMA kama ilivyodhaniwa awali, fuatilia hoja hii utafahamu nani alitoa kauli hii
Kweli Chadema ni hamnazo!
==============
Moderator's note:
Aliyetoa kauli hii inadaiwa si Lema wala mbunge wa CHADEMA kama ilivyodhaniwa awali, fuatilia hoja hii utafahamu nani alitoa kauli hii