Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,724
- 12,381
Mwisho watasema ni marufuku watu kupiga jeki na kubusti maziwa halikadhalika kuvaa boksa.
Yetu macho!!
Yetu macho!!
Kwani wao hawatakiwi kuvutia uwekezaji?Hapa kazi tu kucha na kope wawaachie wakina wema sepetu.
Acha kulalamika mama hapa kazi tu!
Mumeo ameshalipia yale makontena?...Hizo kucha bandia na kote.. zina uhusiano gani na wao kuingia bungeni na kuketi tu?..duh
Pia kama amepata malalamiko.. ni juu ya nini haswa na kivipi zinasumbua wengine au yeye?
Mumeo ameshalipia yale makontena?...