prs
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 2,642
- 3,368
Mkuu Bado kidogo tutaelewana tu.Hizo kucha bandia na kote.. zina uhusiano gani na wao kuingia bungeni na kuketi tu?..duh
Pia kama amepata malalamiko.. ni juu ya nini haswa na kivipi zinasumbua wengine au yeye?