pappilon
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 3,192
- 3,556
Kikao kilichukua zaidi ya masaa matatu!
Hata kama kilichukua masaa nane haibadilishi ukweli kuwa bunge ni dhaifu
Kikao kilichukua zaidi ya masaa matatu!
Ukweli utajulikana muda si mrefu!Hata kama kilichukua masaa nane haibadilishi ukweli kuwa bunge ni dhaifu
Kamati ya maadili ya bunge!
Ukweli utajulikana muda si mrefu!
Game is over! What is next
Kwahiyo mleta shauri anatoa hukumu baada ya kushauriwa?Kuna tofauti kati ya mlalamikaji na mleta shauri!
Hapo kuna walakini! Ina maana kamati haina meno!
we,siasa za,nchii hii bado hazijakukaa vizuri kichwanDah..
Naona jamaa katumia hekima sana kwenda.
Cha ajabu eti taarifa zinasema sio Spika aliyemuita, ila ni kamati ya maadili iliyomuagiza Spika amuite kuhojiwa.
Kinachofuata hapo jamaa ni kuibuka mshindi tu, halafu soon Jiwe anaitisha shughuli ya kitaifa anamualika Assad na kumsifia mambo yanakwisha.
Ndugai ajiangalie sana.
Jiwe si mwanasiasa.
Atamharibia sana political carrier yake, na baadaye Ndugai ataonekana kama Spika aliyevurunda Tanzania.
Hapo ndio anaonekana kama yeye ndio anakiongoza kikao
hii kamati imejaa wenye leaving cert.tu akitoa neno la kitaaluma wanatafutana
wapige picha na kula chakula cha mchana mambo yaishe
Kwahio mtuhumiwa anakabidhiwa ripoti ili achukue hatua zaidi?
Hadi sasa ndo spika mvurundaji kuwahi kutokea.Dah..
Naona jamaa katumia hekima sana kwenda.
Cha ajabu eti taarifa zinasema sio Spika aliyemuita, ila ni kamati ya maadili iliyomuagiza Spika amuite kuhojiwa.
Kinachofuata hapo jamaa ni kuibuka mshindi tu, halafu soon Jiwe anaitisha shughuli ya kitaifa anamualika Assad na kumsifia mambo yanakwisha.
Ndugai ajiangalie sana.
Jiwe si mwanasiasa.
Atamharibia sana political carrier yake, na baadaye Ndugai ataonekana kama Spika aliyevurunda Tanzania.