Bunge maalum la katiba linamamaliza rasmi lini kazi zake?

Omulangi

JF-Expert Member
Feb 12, 2008
1,036
265
Nilikuwa napita katika mtandao naona tovuti ya bunge maalum bado iko hewani. ile ya tume ya mabadiliko ya katiba ilifungwa mara moja kwa vile ilisemwa imemaliza kazi zake. Hii ya bunge maalum bado iko hewani, sasa muda wake bado au ni double standard za serkali? Nisaidieni.
 
Ile ya tume ilikuwa na vitu vya kuwafumbua watu kimawazo hivyo ilikuwa adui mkubwa. Hii ina vitu vya kuwafumba watu, kwa maneno mengine inaendelea kuwapepea watu ili waingie mkenge.
 
Hivi ile fedha ambayo ilikuwa ya kuwalipa Ukawa ilienda wapi? Nadhani kama walipa.kodi tunapaswa kupata taarifa isijekuwa waliibeba kwenye sandarusi magunia kama zile za escrow.
 
Back
Top Bottom