kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Mwananchi | July 13, 2011Katika hatua nyingine Mbunge wa Simanjiro, Chrispher Ole- Sendeka (CCM), amemtaka Rais wa Jakaya Kikwete kutumia nafasi yake na kulivunja Bunge mara moja ili warudi katika uchaguzi kwa kile alichokieleza kuwa Bunge limejaa wahuni wengi.
Ole Sendeka alitoa kauli hiyo jana nje ya viwanja vya Bunge wakati akizungumza na Mwananchi kufuatia mjadala mkali uliozua mabishano wakati wa kujadili hotuba ya bajeti ya Wizara ya afya na Ustawi wa Jamii.
Sendeka alisema Bunge limekosa mvuto na hata jamii inayowasikiliza wanaona kuwa hakuna maana yoyote ya kuwa na Bunge ambalo limekosa mwelekeo kama ilivyo sasa kwa bunge la kumi.
bunge utadhani ni sehemu ya kucheza pool
Kwani sheria zinasemaje iwapo rais atalivunja bunge?
anamaanisha wapinzani ..anadai kuwa bunge limejaa wahuni wengi ndio maana anapendekeza livunje... Aliyasema haya wakati akihojiwa na mwananchi kwenye viwanja vya bunge.CCM ni wahuni? maana ndio waliojaa Bungeni ukilinganisha na vyama vingine.
ok..nimepata alichikuwa anamaanisha.Mathematically kwa sababu anadai kuwa limejaa wahuni wengi na % kubwa ya wabunge waliojazana bungeni ni ccm, hence bunge limejaa wahuni wengi wa ccm. Inabidi hii hoja yake itiliwe manani labda jamaa ana nia nzuri na mustakabali wa nchi.Wapinzani mbona wachache sana ukilinganisha na CCM?
kigwangala.wale walioingia kwa kubahatisha/mazabe inaweza ikala kwao hii!nadhani wengine wanabinya makende lisijelikatokea hili before 2015!
Ndugu yangu umesahau kuwa kuna wanaochapa usingizi, wanasahau wanacho wakilisha?ok..nimepata alichikuwa anamaanisha.Mathematically kwa sababu anadai kuwa limejaa wahuni wengi na % kubwa ya wabunge waliojazana bungeni ni ccm, hence bunge limejaa wahuni wengi wa ccm. Inabidi hii hoja yake itiliwe manani labda jamaa ana nia nzuri na mustakabali wa nchi.
offcourse all of the included.Ndugu yangu umesahau kuwa kuna wanaochapa usingizi, wanasahau wanacho wakilisha?