johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 86,441
- 147,151
Tanzania ni nchi iliyobarikiwa hatuhitaji magumashi katika kuendesha shughuli zetu binafsi na zile za Serikali.
Kulikoni kununua mafuta ya kidebe huko baharini basi ni heri mumuombe Asas awauzie mafuta kutoka kwenye visima vyao huko Arabuni kama kweli hamtaki tena kufanya bulk procurement.
Mafuta ya kidebe? Nchi ngumu sana hii.
Maendeleo hayana vyama!
Kulikoni kununua mafuta ya kidebe huko baharini basi ni heri mumuombe Asas awauzie mafuta kutoka kwenye visima vyao huko Arabuni kama kweli hamtaki tena kufanya bulk procurement.
Mafuta ya kidebe? Nchi ngumu sana hii.
Maendeleo hayana vyama!