Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,157
- 17,052
Nimemaliza kuangalia bunge lililoisha jioni hii. Bunge lililokuwa likijadili bajeti ya ofisi ya raisi menejenti na utumishi wa umma. Bsjeti ambayo tayari imepitishwa. Kilichonishitua ni idadi ya wabunge wabunge waliopitisha bajeti hiyo. Idadi yake ilikuwa ndogo mno sidhani kama hata walikuwa wakifika sitini. Sijajua ni wabunge wangapi wanatosha kuipitisha bsjeti ya wizara.
Kinachoonekana kwa sasa wengine wa bunge wapo majimboni kutengeneza mazingira kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwezi octoba
Kinachoonekana kwa sasa wengine wa bunge wapo majimboni kutengeneza mazingira kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwezi octoba