Bunge limegubikwa na wasemaji wasiojua tofauti ya speak and talk

Kwa hiyo wewe ulitaka kwamba ili ahoji kuhusu korosho anapaswa awe na shamba la korosho, ili ahoji kuhusu Polisi anapaswa kuwa na kampuni ya ulinzi, ili ahoji kuhu masuala ya ki benki awe namiliki benki yake kwanza, ili ahoji kyhusu wafanyakazi basi angalau amewahi kuajiriwa. Yaani ndiyo umepima hiyo post yako kwa gauges zako zote na kuona ndiyo the best of all.
Kingine unapojaribu kupondea sekta binafsi na kufurahiwa kuondolewa kwao katika partnership in development and in economy kisa tu zimewahi kutugharimu huko nyuma na sasa. Je, umehoji kuhusu kwanini tuwe na bunge wakati lilishawahi kupitisha sheria za hovyo? Umehoji kuhusu umuhimu wa wakuu wa wilaya na mikoa ambao nafasi zao ni mizigo kwa taifa? Umewahi kuhoji kuhusiana na rais wa sasa na hasara alizowahi kutuingiza?
Unapoamua kuhoji mambo jaribu kuwa mkweli kwa nafsi yako ili uwe huru.
 
p
Hebu soma vizuri unielewe. Kwahiyo mapori yote haya nani atayalima? korosho ni pesa nje nje, Pamba pesa nje nje, lakini export ni kidogo. Huoni ni vyema wabunge hao mia nne kila mmoja akawa na heka kumi za korosho. Kama kilimo ndio uti wa mgongo hapa Tanzania sioni sababu ya kelele za export ndogo wakati mapori yapo wazi hayana kahawa, akorosho,Pamba, Pareto na Ch. yawezekana hukumsikiliza vizuri Bashe kwa sababu ya mihemko na mahaba binafsi kwa sizo,kaongea mengi ya msingi likiwemo la serikali kuiwezesha secta ya kilimo ambayo ndio inayobeba watz walio wengi,tangu serikali ya awamu ya tano iingie bajeti kwenye secta ya kilimo haitekelezwi sawa sawa na ilivyopitishwa na bunge.katika fedha zinazotengwa kwa ajili ya sector ya kilimo utekelezaji wa bajeti ni chini ya 20% ya fedha zote zilizotakiwa zitolewe.hapo kilimo kitasonga mbele?tafta clip msikilize tena utamuelewa.pia haiwezekani watanzania wote kuwa wakulima lazima pawepo na mgawanyiko wa kazi.kukosoa ,kushauri na kupongeza ndio wajibu wa wabunge kwa niaba ya wananchi pia ni wajibu wa mwananchi mmoja mmoja,pia haki kikatiba.wewe ni nani mpaka uzuwie mawazo ya watu huru?mnataka tuwaze vile anavyopenda sizo!!!uhuru na utofauti wa mawazo ni muhimu kwa maendeleo ya nchi yoyote ile duniani.
 
Unajua bajeti ya 2017/2018 ya kilimo?Unaju ni wakulima wangapi mahindi yao yamekamatwa wasisafirishe nje hali ndani ya nchi hakuna soko? Unadhani kuna benki inaakili ndogo haijui kwamba kukopa mkulima ambaye serikali inamghasi ni kujitakia mikopo isiyolipika?
Mbona akili yako finyu hivyo? Kweli mkulima ni yule anayelima mahindi tu? Kuna mazao mengine mengi na ya aina tofauti ambayo mkulima anaweza akalima na kupata mikopo kutoka kwenye banks zilizopo. Kuna mazao kma pamba, mihogo, njegere, maharage kahawa na kadhalika na nafaka kama mpunga, ngano, mtama, ulezi na kadhalika. Haya mazao yote yana soko kubwa sana nje.

Kuna maua ya yasmini ambayo sisi watanzania hatujui tu ni biashara moja nzuri sana ambayo watanzania wana weza fanya, nayo ina lipa sana nje.

Kwa hiyo tuachane na maneno ya uswahilini kudanganyana akili.
Weka figures Mkuu.. Hakuna business ijayofanyika bila figure, hata Malaya hua analipisha kutokana na idadi ya mishindo au muda! Lazima mjifunze kutofautisha siasa na mambo ya business.
 
Ila hakun jambo asahiv asa bung mm sionag kam
Kuna mtu anaetetea wananchi kule shida tu asa et watetez wa wananchi wanaishi kitajir kuliko wat wake wanatubabaishag tu ss
 
Hawana jipya mbaya zaid uaongeaaaa weeeee mwaka huuu na mwakan wanajadili vitu hivyo hivyoo sasa sijui ndio nn
 
Kwa hiyo wewe ulitaka kwamba ili ahoji kuhusu korosho anapaswa awe na shamba la korosho, ili ahoji kuhusu Polisi anapaswa kuwa na kampuni ya ulinzi, ili ahoji kuhu masuala ya ki benki awe namiliki benki yake kwanza, ili ahoji kyhusu wafanyakazi basi angalau amewahi kuajiriwa. Yaani ndiyo umepima hiyo post yako kwa gauges zako zote na kuona ndiyo the best of all.
Kingine unapojaribu kupondea sekta binafsi na kufurahiwa kuondolewa kwao katika partnership in development and in economy kisa tu zimewahi kutugharimu huko nyuma na sasa. Je, umehoji kuhusu kwanini tuwe na bunge wakati lilishawahi kupitisha sheria za hovyo? Umehoji kuhusu umuhimu wa wakuu wa wilaya na mikoa ambao nafasi zao ni mizigo kwa taifa? Umewahi kuhoji kuhusiana na rais wa sasa na hasara alizowahi kutuingiza?
Unapoamua kuhoji mambo jaribu kuwa mkweli kwa nafsi yako ili uwe huru.
Sikiliza ndugu yangu ili uelewe kuna tofauti kubwa sana kati ya sakta binafsi za watanzania na za kimataifa. Sekta binafsi za kimataifa kama Amazon, Google, Facebook na kadhalika ni makampuni ambayo yana angalia profit tu, haya jali maisha ya wananchi. Yanajali share holders wao na yana operate globally.

Wewe unafikiri kwa nini Donald Trump waamerika wamemchagua kuwa Rais wao? Haya madudu na mengineyo ndiyo yaliyo haribu uchumi wa Amerika. Sio makampuni ya ku cheka nayo. Haya makampuni na mengineyo mengi ambayo Mh. Nape anaya pigania hayatoi ajira nyingi. Ni wakamuaji. Wanyonyaji hawataki kutoa. Waamerika wengi sio wa haili ya chini tu hata wale wa middle class wamepoteza ajira, mali zao na matumaini ya kujenga maisha yao ya baadae na kuleta amani katika nchi. Haya makampuni ni: "Grasshoppers"
Ndiyo maana President Trump amelitambua hilo na hataki tena waamerika waweke mikataba mibovu ya kimataifa.

Utaona kwa mfano Facebook Europe makao yake makuu yako Irland. Kwa nini? Kwa saba wanatengeneza faida bila kulipa kodi. Kwa sababu Irland ni Tax haven kama Magufuli anavyo sema.

Watanzania msisikie tu maneno mazuri kama "private sector" sekta binafsi "it sounds good!" Lakini mkiangalia kwa undani mtaona sio yote yana lengo la kuleta maendeleo. "Whatch out!"

Sekta binafsi za watanzania ambazo Mh. Nape anaziongelea nadhani ni zile ambazo zina tegemea tenda za serikali. Huzi haziko inovative.
Mara nyingi watanzania wenzangu ni zile sekta za ujenzi kama wa mabarabara majengo na kadhalika ambazo kazi yao kuilangua serikali kwa kuweka Quatatio kubwa kuliko mategemeo. Kuna baadhi ya politician ni wakurugenzi kwenye makampuni ya aina hiyo.
Kwa hali hiyo mchangia hoja sahau. Hatuwezi endelea na udanganyifu huu. Wame tunyanyasa vya kutosha. Enough is enough!

Namsikitikia sana Nape mwenyewe anazungumza mpaka mishipa in mtoka kwa kitu ambacho hakielewi. Yaani amejishusha hadhi mwenyewe. Na kila anavyo zidi kutoa utumbo kama huo anazidi kuangamia. MP Nape be you yourself!
 
Umejiuliza kwa nini kwenye YouTube Clips za wapinga serikali zimejaa? Hapo ndugu utaona jinsi gani wakandamizaji wamedhamiria kututendea.

Ukiona hivyo basi ujue hakuna kipya.

Hizi ni mada ambazo mkuu hiziongelea kwa miaka mi 2 mfulilizo

1. Anaongelea maendeleo hayana chama. Mmenipa kura nyingi.

2. Atamsifia mbunge/diwani/meya wa eneo hilo atasema ni mpinzani ila ana moyo wa ccm.

3. Atasema uchumi unakuwa kwa asilimia 7

4. Ananunua ndege, anajenga reli na fly over.

5. Ataomba watu wawe wazalendo.

6. Atatumbua kiongozi wa eneo hilo.

Sasa si unaona kama anajaza memory card za waandishi wa habari tu kwa hotuba zile zile kila siku.

Hata YouTube wenyewe Wataona Server zinajazwa kwa hotuba zinazojirudia rudia.
 
Jana bungeni Mh. bashe alisema export zimepungua serikali inaficha data, naomba kumuuliza huyu kijana. Yeye ana mashamba mangapi ya korosho. Maana export haziwezi kuongezeka kama Watanzania hatulimi. Agepaswa kulalamika anauza sana nje na serikali inamfichia data.

KuhusuMabenki; Mabenki kibao hayapo kibishara. Matangazo yao kila siku yanataka fixed deposite, Mortage, na Mikopo ya wakandarasi hivi mamantilie anaweza kuweka fixed deposite? Wawakuze wafanyabishara wadogo wawe wakubwa. wanataka simple business kwanini faida zishishuke?
Mabenki mengi hapa Tanzania wanafanya biashara na serikali na matajiri wa kati na wakubwa.

Mbunge mwingine anasema Private partnership. Simuelewi! Tumeuza hapa viwanda vimebakia magofu. Private partnership hapa Tanzania ni dhambi. Tuliwaleta City Water tukala wa chuya. Tuliwaleta Celtel tukaumia, na Star Times yaleyale. Hata machungu hayajatusha. Anataka PPP ipi? Hajifunzi kutokana na makosa. Yeye kama anahela ajenge kiwanda. NDC wanataka wawekezaji au anatafuta pesa za kununua nyumba ya lugumi. Kama anataka pesa za kuandika proposal asahau. Pesa ipo shambani .



Jana imekuwa siku yangu ngumu sana. Nimehuzunika na nimenyong'onyea sana. Nimegundua kwanini bunge halionyeshwi live. Bunge halionyeshwi live kwasababu wabunge wanawalisha wananchi sumu.
Lazima wabunge wajue tofauti ya speak and talk. nimekuwa mgumu sana kusema kitu. Nimekuwa najifua sana.

When you speak you must have vision!
Good politician should have a vision for his country, be able to articulate it, and inspire action. Vision was near the top of the list of politics dimensions mentioned by respondents. Authentic politician entails the ability to visualize the future and effectively communicate that vision to others. Those who aspire to lead should take note. You can stay in middle politics forever without this skill set. You will rise to the top if you can see the big picture and help others see it too.

Nape what is wrong? Elimu? Au nini? Tanzania is Moving in Right Direction Hata wazungu wanashangaa!!wewe huoni chochote?
Kwan data alizotoa ni za uongo? Hoja hujibiwa kwa hoja, zile ni data alizokuwa ananukuu kutoka kwenye report ya benk kuu, naona utakuwa umekurupuka bila kujua chochote, fatilia ujue nchi yako inaenda wapi kisha uje na hoja inayojenga na c kuja na personal attack, shame on you.
 
Sikiliza ndugu yangu ili uelewe kuna tofauti kubwa sana kati ya sakta binafsi za watanzania na za kimataifa. Sekta binafsi za kimataifa kama Amazon, Google, Facebook na kadhalika ni makampuni ambayo yana angalia profit tu, haya jali maisha ya wananchi. Yanajali share holders wao na yana operate globally.

Wewe unafikiri kwa nini Donald Trump waamerika wamemchagua kuwa Rais wao? Haya madudu na mengineyo ndiyo yaliyo haribu uchumi wa Amerika. Sio makampuni ya ku cheka nayo. Haya makampuni na mengineyo mengi ambayo Mh. Nape anaya pigania hayatoi ajira nyingi. Ni wakamuaji. Wanyonyaji hawataki kutoa. Waamerika wengi sio wa haili ya chini tu hata wale wa middle class wamepoteza ajira, mali zao na matumaini ya kujenga maisha yao ya baadae na kuleta amani katika nchi. Haya makampuni ni: "Grasshoppers"
Ndiyo maana President Trump amelitambua hilo na hataki tena waamerika waweke mikataba mibovu ya kimataifa.

Utaona kwa mfano Facebook Europe makao yake makuu yako Irland. Kwa nini? Kwa saba wanatengeneza faida bila kulipa kodi. Kwa sababu Irland ni Tax haven kama Magufuli anavyo sema.

Watanzania msisikie tu maneno mazuri kama "private sector" sekta binafsi "it sounds good!" Lakini mkiangalia kwa undani mtaona sio yote yana lengo la kuleta maendeleo. "Whatch out!"

Sekta binafsi za watanzania ambazo Mh. Nape anaziongelea nadhani ni zile ambazo zina tegemea tenda za serikali. Huzi haziko inovative.
Mara nyingi watanzania wenzangu ni zile sekta za ujenzi kama wa mabarabara majengo na kadhalika ambazo kazi yao kuilangua serikali kwa kuweka Quatatio kubwa kuliko mategemeo. Kuna baadhi ya politician ni wakurugenzi kwenye makampuni ya aina hiyo.
Kwa hali hiyo mchangia hoja sahau. Hatuwezi endelea na udanganyifu huu. Wame tunyanyasa vya kutosha. Enough is enough!

Namsikitikia sana Nape mwenyewe anazungumza mpaka mishipa in mtoka kwa kitu ambacho hakielewi. Yaani amejishusha hadhi mwenyewe. Na kila anavyo zidi kutoa utumbo kama huo anazidi kuangamia. MP Nape be you yourself!
Sanaa na uchumi wapi bin wapi
 
. Siyo kuongea kitu amacho serikali imeweka mazingira bora tayari?

Kwa hiyo serikali imeweka mazingira bora ya kilimo?! Nimekuuliza: Kilimo Kwanza kiko wapi? CAADP je? ASDP na DADPs nazo? Asilimia 10 ya Maputo Declaration? Asilimia 70+ ya watanzania ni subsistence farmers. Halafu serikali inatenga bilioni 500 kununua ndege, huku ikitenga bilioni 29 kwenye sekta ya kilimo, huku karibu nusu ya hiyo pesa ikitoka kwa wafadhili!!
 
Ukiona hivyo basi ujue hakuna kipya.

Hizi ni mada ambazo mkuu hiziongelea kwa miaka mi 2 mfulilizo

1. Anaongelea maendeleo hayana chama. Mmenipa kura nyingi.

2. Atamsifia mbunge/diwani/meya wa eneo hilo atasema ni mpinzani ila ana moyo wa ccm.

3. Atasema uchumi unakuwa kwa asilimia 7

4. Ananunua ndege, anajenga reli na fly over.

5. Ataomba watu wawe wazalendo.

6. Atatumbua kiongozi wa eneo hilo.

Sasa si unaona kama anajaza memory card za waandishi wa habari tu kwa hotuba zile zile kila siku.

Hata YouTube wenyewe Wataona Server zinajazwa kwa hotuba zinazojirudia rudia.
Unanifurahisha sana. Nionyeshe mtu asiyerudia rudia mambo.

Kweli hao wengine unao wapenda na kuwaombea wawe watawala wako hawarudii rudii statements zao?
Naweza post humu ndani hoja ambazo viongozi wengi wame zirudia rudia tukianza na Baba wa Taifa Mwalim Nyerere, sijui kama utakuwa umesha wahi kumwona, mpaka Kikwete. Hata huyo mpedwa wako Tundu Lissu kuna mambo kibao ambayo amekuwa ana rudia rudia.

Duniani kila kitu unachokifanya na kukisema ni marudio ndugu yangu. Kama tusingekuwa tuna rudia rudia vitu mara kwa mara sijui tungekuwa viumbe wa aina gani. "May be alien".

Acha kuchangia hoja kama mtu asiye liona darasa.
Sanaa na uchumi wapi bin wapi
 
mtoa post kaeleza kinagaubaga alichotakiwa kufanya kabla ya kuongea alichoongea.

Rudi juu soma vizuri achana na mambo ya hoja kwa hoja.

Utafikiri hata tukiweka data hapa utazielewa:rolleyes:[/QUOTE
Kama ww auzielewi hizo data usifikirie jf yote hawezi kuzielewa
 
Ccm is in bed dying slowly... Pole sana wee kada mwenye itikad kali...vumilia tuu haki ndivyo ilivyoo
 
Heh! kwahiyo kilimo cha mazao gani! ambacho unalima tu miaka kadhaa uasubiri kiwanda kijengwe ndio upate soko. Lababda sikuelewi.
Wakulima tumekuwepo bila viwanda kwa muda merefu sana tumeweza kusomesha watoto kwahiyo kilimo kianze viwanda vitakuja
 
Unanifurahisha sana. Nionyeshe mtu asiyerudia rudia mambo.

Kweli hao wengine unao wapenda na kuwaombea wawe watawala wako hawarudii rudii statements zao?
Naweza post humu ndani hoja ambazo viongozi wengi wame zirudia rudia tukianza na Baba wa Taifa Mwalim Nyerere, sijui kama utakuwa umesha wahi kumwona, mpaka Kikwete. Hata huyo mpedwa wako Tundu Lissu kuna mambo kibao ambayo amekuwa ana rudia rudia.

Duniani kila kitu unachokifanya na kukisema ni marudio ndugu yangu. Kama tusingekuwa tuna rudia rudia vitu mara kwa mara sijui tungekuwa viumbe wa aina gani. "May be alien".

Acha kuchangia hoja kama mtu asiye liona darasa.

Unadhihirisha kwamba vijana wa Lumumba mnashindwa kujibu hoja kwa hoja, badala yake mna personal attack.

Sasa elimu yangu imeingiliaje. Haya nyie wenye elimu zenu, hizo elimu zimesaidia nini nchi hii?
 
Jenga kiwanda uone kama sector ya kilimo haijakua. Watu watakuwa motivated sana na hizo unazosema raw materials zitapatikana tu.Leo unahimiza watu walime nyanya kwa wingi then ziishie kuliwa na ng'ombe,unaona hii ni akili?Tanzania tunataka viwanda kukuza sector ya kilimo.
Mabank yatakusubiria wakati unasubiria raw material we kweli hamnazo
 
Sijaona hoja Ya msingii hapa
Naona njaaa Na Maneno meeeengi yanayodhihirisha Nani Kasema Na Kwa niaa Ipi,
Sijakuelewa Kabisa Kama hoja Yako n Kwa maslahi yepi.
Anyway nowadays Naona badala Ya Kukua kifikraa Na Kukomaa vijana weeeengi tunazidi Kuwa mashabiki Na wanafiiki nafiki
 
Sasa kama hutaki wajadili kwa mawazo yao, si mngepitisha nyie wenyewe kwa mawazo yenu nyumbani kwenu? ukiweka bungeni manake hata hawa unaotaka kuwashambulia ni wachache mno wabunge wengi ni wa namna yako. We unachotakiwa kufanya hawa wachache wasiokukuna wapotezee by the way hata mawazo yao sidhani kama Dere anashida nayo nyie fanyeni yenu.

Yaani we mfano wako ni city water na celtel tu??? Hizi maelfu ya kilometer alizojenga JK na Dere wamejenga JKT????? Kitu ambacho hamtoweza ni kuzuia wengine wasifikiri tofauti na nyie na mabwana zenu. Unataka bank zikuze wafanyabiashara wadogo wakati serikali yenu inawaua makusudi, ng'ombe wa jirani anakuja kuchungwa kwenye mapori yenu mnakamata na kuuza bila aibu kweupe ili kuongeza mapato yenu hadharani si wizi halali huu, mliona wapi na nchi gani? kama sio nyie tu na roho zenu mbaya. hivi kwa ardhi mliyokuwa nayo kama mngekuwa na akili si ndio mngefanya biashara ya kualika wageni waje wachunge huku mkusanye pesa muweke na viwanda vya kusindika nyama mkauza mbali zaidi Tanzania kweli inashida ya marisho ya ng'ombe maelfu kweli???? Mpaka serikali ianzishe biashara ya dhulma.

Serikali haifanyi biashara sio Bashe wala Nape, Julius aliambiwa hivyo miaka 40 imepita sasa, na wewe unaambiwa kazi ya serikali sio kufanya biashara nendeni mkatoe huduma za afya, elimu, miundombinu, mkanyanyue wakulima na wajasiriamali wadogo.. Biashara zina watu wake sio nyie hata hao watu wa biashara hawapo katika hizo siasa, yuko live mwenye nchi yeye ndio anawalisha maziwa na asali. Pesa ipo shambani wakati nyie mnazuia wakulima wasiuze ili wenzenu wa kutoka Zambia wakauze katika masoko ya kupata fedha za kigeni.

Tanzania inakwenda katika right direction kwa kujenga International Airport Chato?? wakati huu unaakili kweli???/ we unajua kwamba ni cheaper kuborrow kuliko kutumia pesa zako kuzizika katika biashara ya miundombinu??? Hivi iki kidogo tunachopata mmekosa akili ya kukikuza x 10 mpaka muanzishe magomvi kila kukicha. Si bora uendelee kujifua utatakata na usijifue kizani manake huko unakula makasa tu toka hadharani tukustue.

Jana bungeni Mh. bashe alisema export zimepungua serikali inaficha data, naomba kumuuliza huyu kijana. Yeye ana mashamba mangapi ya korosho. Maana export haziwezi kuongezeka kama Watanzania hatulimi. Agepaswa kulalamika anauza sana nje na serikali inamfichia data.

KuhusuMabenki; Mabenki kibao hayapo kibishara. Matangazo yao kila siku yanataka fixed deposite, Mortage, na Mikopo ya wakandarasi hivi mamantilie anaweza kuweka fixed deposite? Wawakuze wafanyabishara wadogo wawe wakubwa. wanataka simple business kwanini faida zishishuke?
Mabenki mengi hapa Tanzania wanafanya biashara na serikali na matajiri wa kati na wakubwa.

Mbunge mwingine anasema Private partnership. Simuelewi! Tumeuza hapa viwanda vimebakia magofu. Private partnership hapa Tanzania ni dhambi. Tuliwaleta City Water tukala wa chuya. Tuliwaleta Celtel tukaumia, na Star Times yaleyale. Hata machungu hayajatusha. Anataka PPP ipi? Hajifunzi kutokana na makosa. Yeye kama anahela ajenge kiwanda. NDC wanataka wawekezaji au anatafuta pesa za kununua nyumba ya lugumi. Kama anataka pesa za kuandika proposal asahau. Pesa ipo shambani .



Jana imekuwa siku yangu ngumu sana. Nimehuzunika na nimenyong'onyea sana. Nimegundua kwanini bunge halionyeshwi live. Bunge halionyeshwi live kwasababu wabunge wanawalisha wananchi sumu.
Lazima wabunge wajue tofauti ya speak and talk. nimekuwa mgumu sana kusema kitu. Nimekuwa najifua sana.

When you speak you must have vision!
Good politician should have a vision for his country, be able to articulate it, and inspire action. Vision was near the top of the list of politics dimensions mentioned by respondents. Authentic politician entails the ability to visualize the future and effectively communicate that vision to others. Those who aspire to lead should take note. You can stay in middle politics forever without this skill set. You will rise to the top if you can see the big picture and help others see it too.

Nape what is wrong? Elimu? Au nini? Tanzania is Moving in Right Direction Hata wazungu wanashangaa!!wewe huoni chochote?
 
Back
Top Bottom