Bunge limegubikwa na wasemaji wasiojua tofauti ya speak and talk

Binafsi sijawahi kuona faida ya bunge hata siku moja......kwa mtazamo wangu, ni moja wapo ya wafanyakazi hewa!
Mtu asiyekuwa na tija ni bora asiwepo kabisa!!
Nakubaliana na wewe nadhani lingepunguzwa au kufutwa kabisa kisha kuunda kikundi flani kidogo cha watalaam kutoka sekta mbali mbali kulingana na kanda zetu kisha kiwe kina ishauri serikali na kuendesha mipango basi
 
Mleta uzi mawazo yako ya kilumumba kweli kweli

Nape alizungumza ya ukweli kabisa. Serikali kuwekeza ktk miradi mikubwa kwa mikopo inatufikisha kwenye ukomo wa kukopa siyo uongo.

Vilivyobinafsishwa na vikawa magofu, serikali nayo ina mchango wake kwa kutotengeneza mazingira rafiki ya kufanya watu waendelee kuvifanya hai
 
Mabank yatakusubiria wakati unasubiria raw material we kweli hamnazo
Hatuna uhaba wa raw materials kama mnavyotaka kuaminisha umma. Na tuna viwanda vya aina tatu.vikubwa vidogo na vya kati lkn vilevile itakua ni njia ya kupokea mizigo mingine toka nchi nyingine. Kwani kila nchi yenye viwanda raw materials wanatoa wenyewe?Ingekuwa hivo ngozi yetu ingekuwa inaozeana hapahapa. Mkulima yyt akiona kuna soko la uhakika atalima tu tena kwa bidii sana maana anajua kuna soko la uhakika. Mfano wakulima wa matikiti maji wanaingia hasara sana tokana na kutokuwa na soko la uhakika. Sehem nyingi sana nimezunguka na kuona kweli viwanda ndio solution. Kwanza ukijenga kiwanda unakuwa umefanya maendeleo kwa kias kikubwa sana.Barabara,umeme na maji katika eneo husika vitawafikia wananchi kirahisi lkn pia ajira za muda mfupi na mrefu utakua umetoa.Yani anayepinga sera ya viwanda nashindwa kuelewa thinking capacity ikoje!!
 
Naomba nikujibu Pascal Ndege,unapoongelea Kilimo unaongelea akina Mama 70% ni wakulima tena wakulima wa kutumia mikono.

Kama Serikali ingetaka kuonyesha uchumi ingeanza na Kilimo.Unapohamasisha Kuliko,ukawapa wakulima vitendea kazi kama Matractor,hapa ni pamoja na accessories zake tungeongeza pato la Taifa lea kupitia kilimo.

Badala ya Kujenga Chato Serikali ingewapa mikopo wanakijiji hata kama ni tractor mbili lea kila kijiji au Kata ingeweza kuongea Tija kwenye kilimo.

Unapojenga kwanza wa Mabilioni ya pesa usip n.a. value for money halafu unadanganya lea viwanda hivyo viwanda vinapata wapi malighafi??

Akili za Watawala no za kufanya ubadhirifu tu hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuongea idadi ya Mali zao tu.
 
Wewe hukumuelewa kabisaaa, export zimepungua due to TAX, Na akaendelea kusema mkulima anabanwa sana katika kodi, na tusishangae kuona mwakani kuna baa la njaa
 
Heading inguwa Bashe ni mfanyakazi hewa kwa hili la jana
Pascal Ndege ni mjinga namba moja wa JF. Hakika unatakiwa kujishangaa kabla hujamshangaa Mheshimiwa Bashe.

Waziri Mpango amemkubali Bashe itakuwa wewe mtafuta cheo? Shida yako una waza kuteuliwa ili kumaliza njaa yako badala ya kuchapa kazi.

Bashe anazungumza kwa kutoa data wewe unazungumza kama konda wa daladala.Asiye kujua anaweza kufikiri kuwa wewe ni darasa la saba. Common Pascal Ndege jiungeze think better.
 
Unadhihirisha kwamba vijana wa Lumumba mnashindwa kujibu hoja kwa hoja, badala yake mna personal attack.

Sasa elimu yangu imeingiliaje. Haya nyie wenye elimu zenu, hizo elimu zimesaidia nini nchi hii?
Sorry kama unahisi nime kuattack personal. Haikuwa lengo langu. Ukisoma vizuri Sentensi yangu ya mwisho utaona nimesema in condition. Wataalam wana iita sentensi ya aina hiyo: "conditional sentence" yaani ni hali fulani ya kuelezea kitu ambacho hakijulikani kama kimetokea au hakija tokea au kinaweza kikawa kimetokea au la.

Mimi kwa taarifa yako sio mtoto wa Lumumba na wala sio mshabiki wa CCM. Toka nianze kujua maana ya demokrasia nakiona hicho chama ni chama cha ubababe na udanganyifu. Ni chama ambacho hakija wahi kuwa tendea haki watanzania. CCM ni chama ambacho si kitaki na wala sitaki kukisikia. Sina mpango kabisa na CCM kwani naona kinatuharibia tu rangi ya bendera yetu ya Taifa.
Lakini hata hivyo nacho weza kukuambia ni kuwa "the person behind CCM" ambaye ni Rais wetu Mh J. J. P. Magufuli.
Huyu jamaa ni mwisho! Kama wewe humwoni hivyo basi ina wezekana ikawa wewe sio mtanzania au hujui history ya nchi yetu.

Mimi kama mtanzania ambaye nimewashuhudia marais wote wa nchi yetu hii naweza kukuambia kitu kimoja, sijawahi kumwona na kumsikia binadam kama yeye nchini Tanzania, ukimwondoa Marehem Ex-Waziri mkuu ?Mh Edward Moringe Sokoine.

Mambo anayo yafanya huyu jamaa ni "unprecedented". Kama wewe ni mtu wa kipato cha chini na una watoto unawalea na kuwapeleka shule utalielewa hilo. Lakini kama ni mtu ambaye maisha yako ni ya ki namna nafikiri itakuwa vigumu kwako ku appreciate mambo ambayo ameyafanya so far. Off course utaona maelezo yake yote ni marudio. Nasikitika siwezi kukusaidia kwa hilo!
 
Sorry kama unahisi nime kuattack personal. Haikuwa lengo langu. Ukisoma vizuri Sentensi yangu ya mwisho utaona nimesema in condition. Wataalam wana iita sentensi ya aina hiyo: "conditional sentence" yaani ni hali fulani ya kuelezea kitu ambacho hakijulikani kama kimetokea au hakija tokea au kinaweza kikawa kimetokea au la.

Mimi kwa taarifa yako sio mtoto wa Lumumba na wala sio mshabiki wa CCM. Toka nianze kujua maana ya demokrasia nakiona hicho chama ni chama cha ubababe na udanganyifu. Ni chama ambacho hakija wahi kuwa tendea haki watanzania. CCM ni chama ambacho si kitaki na wala sitaki kukisikia. Sina mpango kabisa na CCM kwani naona kinatuharibia tu rangi ya bendera yetu ya Taifa.
Lakini hata hivyo nacho weza kukuambia ni kuwa "the person behind CCM" ambaye ni Rais wetu Mh J. J. P. Magufuli.
Huyu jamaa ni mwisho! Kama wewe humwoni hivyo basi ina wezekana ikawa wewe sio mtanzania au hujui history ya nchi yetu.

Mimi kama mtanzania ambaye nimewashuhudia marais wote wa nchi yetu hii naweza kukuambia kitu kimoja, sijawahi kumwona na kumsikia binadam kama yeye nchini Tanzania, ukimwondoa Marehem Ex-Waziri mkuu ?Mh Edward Moringe Sokoine.

Mambo anayo yafanya huyu jamaa ni "unprecedented". Kama wewe ni mtu wa kipato cha chini na una watoto unawalea na kuwapeleka shule utalielewa hilo. Lakini kama ni mtu ambaye maisha yako ni ya ki namna nafikiri itakuwa vigumu kwako ku appreciate mambo ambayo ameyafanya so far. Off course utaona maelezo yake yote ni marudio. Nasikitika siwezi kukusaidia kwa hilo!
 
Pascal Ndege ni mjinga namba moja wa JF. Hakika unatakiwa kujishangaa kabla hujamshangaa Mheshimiwa Bashe.

Waziri Mpango amemkubali Bashe itakuwa wewe mtafuta cheo? Shida yako una waza kuteuliwa ili kumaliza njaa yako badala ya kuchapa kazi.

Bashe anazungumza kwa kutoa data wewe unazungumza kama konda wa daladala.Asiye kujua anaweza kufikiri kuwa wewe ni darasa la saba. Common Pascal Ndege jiungeze think better.

Ebu msikilize Dr Mpango, wewe JERUSALEMU, nani ni mjinga kati yako na Pascal Ndege
 
Kama nimekuelewa mleta uzi unadai mikataba mingi iliyokua na mtizamo wa PPP ilikua ya kilaghai. Sasa hatua gani za kisheria zilichukuliwa kwa wanahusika au watendaji wa serikali waliosaini mikataba hiyo? Je kwa nini mipya inayoingiwa isiwe wazi hata kwa wawakilishi wa wananchi
 
Jana bungeni Mh. bashe alisema export zimepungua serikali inaficha data, naomba kumuuliza huyu kijana. Yeye ana mashamba mangapi ya korosho. Maana export haziwezi kuongezeka kama Watanzania hatulimi. Agepaswa kulalamika anauza sana nje na serikali inamfichia data.

KuhusuMabenki; Mabenki kibao hayapo kibishara. Matangazo yao kila siku yanataka fixed deposite, Mortage, na Mikopo ya wakandarasi hivi mamantilie anaweza kuweka fixed deposite? Wawakuze wafanyabishara wadogo wawe wakubwa. wanataka simple business kwanini faida zishishuke?
Mabenki mengi hapa Tanzania wanafanya biashara na serikali na matajiri wa kati na wakubwa.

Mbunge mwingine anasema Private partnership. Simuelewi! Tumeuza hapa viwanda vimebakia magofu. Private partnership hapa Tanzania ni dhambi. Tuliwaleta City Water tukala wa chuya. Tuliwaleta Celtel tukaumia, na Star Times yaleyale. Hata machungu hayajatusha. Anataka PPP ipi? Hajifunzi kutokana na makosa. Yeye kama anahela ajenge kiwanda. NDC wanataka wawekezaji au anatafuta pesa za kununua nyumba ya lugumi. Kama anataka pesa za kuandika proposal asahau. Pesa ipo shambani .



Jana imekuwa siku yangu ngumu sana. Nimehuzunika na nimenyong'onyea sana. Nimegundua kwanini bunge halionyeshwi live. Bunge halionyeshwi live kwasababu wabunge wanawalisha wananchi sumu.
Lazima wabunge wajue tofauti ya speak and talk. nimekuwa mgumu sana kusema kitu. Nimekuwa najifua sana.

When you speak you must have vision!
Good politician should have a vision for his country, be able to articulate it, and inspire action. Vision was near the top of the list of politics dimensions mentioned by respondents. Authentic politician entails the ability to visualize the future and effectively communicate that vision to others. Those who aspire to lead should take note. You can stay in middle politics forever without this skill set. You will rise to the top if you can see the big picture and help others see it too.

Nape what is wrong? Elimu? Au nini? Tanzania is Moving in Right Direction Hata wazungu wanashangaa!!wewe huoni chochote?
Una mashamba mangapi ya korosho na umeuza tani ngapi za samaki ??
 
Ebu msikilize Dr Mpango, wewe JERUSALEMU, nani ni mjinga kati yako na Pascal Ndege

Kauli ya rais hainatofautian na nilichoandika hebu soma utafakari. Nahisi Rais kanikopi! Mimi nimesema kama ana anaona export zimepungua kwanini asilime yeye kuongeza export? Rais kasema kama anaona kuna fura ya wawekezaji kwanini asiwalete? na chini yake nimeeleza tofauti ya talk and speak.
 
Una mashamba mangapi ya korosho na umeuza tani ngapi za samaki ??
Kauli ya rais hainatofautian na nilichoandika hebu soma utafakari. Nahisi Rais kanikopi! Mimi nimesema kama ana anaona export zimepungua kwanini asilime yeye kuongeza export? Rais kasema kama anaona kuna fura ya wawekezaji kwanini asiwalete? na chini yake nimeeleza tofauti ya talk and speak.
 
Pascal Ndege ni mjinga namba moja wa JF. Hakika unatakiwa kujishangaa kabla hujamshangaa Mheshimiwa Bashe.

Waziri Mpango amemkubali Bashe itakuwa wewe mtafuta cheo? Shida yako una waza kuteuliwa ili kumaliza njaa yako badala ya kuchapa kazi.

Bashe anazungumza kwa kutoa data wewe unazungumza kama konda wa daladala.Asiye kujua anaweza kufikiri kuwa wewe ni darasa la saba. Common Pascal Ndege jiungeze think better.
Kauli ya rais hainatofautian na nilichoandika hebu soma utafakari. Nahisi Rais kanikopi! Mimi nimesema kama ana anaona export zimepungua kwanini asilime yeye kuongeza export? Rais kasema kama anaona kuna fura ya wawekezaji kwanini asiwalete? na chini yake nimeeleza tofauti ya talk and speak.
 
Naomba nikujibu Pascal Ndege,unapoongelea Kilimo unaongelea akina Mama 70% ni wakulima tena wakulima wa kutumia mikono.

Kama Serikali ingetaka kuonyesha uchumi ingeanza na Kilimo.Unapohamasisha Kuliko,ukawapa wakulima vitendea kazi kama Matractor,hapa ni pamoja na accessories zake tungeongeza pato la Taifa lea kupitia kilimo.

Badala ya Kujenga Chato Serikali ingewapa mikopo wanakijiji hata kama ni tractor mbili lea kila kijiji au Kata ingeweza kuongea Tija kwenye kilimo.

Unapojenga kwanza wa Mabilioni ya pesa usip n.a. value for money halafu unadanganya lea viwanda hivyo viwanda vinapata wapi malighafi??

Akili za Watawala no za kufanya ubadhirifu tu hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuongea idadi ya Mali zao tu.
Kauli ya rais hainatofautian na nilichoandika hebu soma utafakari. Nahisi Rais kanikopi! Mimi nimesema kama ana anaona export zimepungua kwanini asilime yeye kuongeza export? Rais kasema kama anaona kuna fura ya wawekezaji kwanini asiwalete? na chini yake nimeeleza tofauti ya talk and speak.
 
Wewe hukumuelewa kabisaaa, export zimepungua due to TAX, Na akaendelea kusema mkulima anabanwa sana katika kodi, na tusishangae kuona mwakani kuna baa la njaa
Kauli ya rais hainatofautian na nilichoandika hebu soma utafakari. Nahisi Rais kanikopi! Mimi nimesema kama ana anaona export zimepungua kwanini asilime yeye kuongeza export? Rais kasema kama anaona kuna fura ya wawekezaji kwanini asiwalete? na chini yake nimeeleza tofauti ya talk and speak.
 
Kwa hiyo wewe ulitaka kwamba ili ahoji kuhusu korosho anapaswa awe na shamba la korosho, ili ahoji kuhusu Polisi anapaswa kuwa na kampuni ya ulinzi, ili ahoji kuhu masuala ya ki benki awe namiliki benki yake kwanza, ili ahoji kyhusu wafanyakazi basi angalau amewahi kuajiriwa. Yaani ndiyo umepima hiyo post yako kwa gauges zako zote na kuona ndiyo the best of all.
Kingine unapojaribu kupondea sekta binafsi na kufurahiwa kuondolewa kwao katika partnership in development and in economy kisa tu zimewahi kutugharimu huko nyuma na sasa. Je, umehoji kuhusu kwanini tuwe na bunge wakati lilishawahi kupitisha sheria za hovyo? Umehoji kuhusu umuhimu wa wakuu wa wilaya na mikoa ambao nafasi zao ni mizigo kwa taifa? Umewahi kuhoji kuhusiana na rais wa sasa na hasara alizowahi kutuingiza?
Unapoamua kuhoji mambo jaribu kuwa mkweli kwa nafsi yako ili uwe huru.
Kauli ya rais hainatofautian na nilichoandika hebu soma utafakari. Nahisi Rais kanikopi! Mimi nimesema kama ana anaona export zimepungua kwanini asilime yeye kuongeza export? Rais kasema kama anaona kuna fura ya wawekezaji kwanini asiwalete? na chini yake nimeeleza tofauti ya talk and speak.
 
Sijaona hoja Ya msingii hapa
Naona njaaa Na Maneno meeeengi yanayodhihirisha Nani Kasema Na Kwa niaa Ipi,
Sijakuelewa Kabisa Kama hoja Yako n Kwa maslahi yepi.
Anyway nowadays Naona badala Ya Kukua kifikraa Na Kukomaa vijana weeeengi tunazidi Kuwa mashabiki Na wanafiiki nafiki
Kauli ya rais hainatofautian na nilichoandika hebu soma utafakari. Nahisi Rais kanikopi! Mimi nimesema kama ana anaona export zimepungua kwanini asilime yeye kuongeza export? Rais kasema kama anaona kuna fura ya wawekezaji kwanini asiwalete? na chini yake nimeeleza tofauti ya talk and speak.
 
Ccm is in bed dying slowly... Pole sana wee kada mwenye itikad kali...vumilia tuu haki ndivyo ilivyoo
Kauli ya rais hainatofautian na nilichoandika hebu soma utafakari. Nahisi Rais kanikopi! Mimi nimesema kama ana anaona export zimepungua kwanini asilime yeye kuongeza export? Rais kasema kama anaona kuna fura ya wawekezaji kwanini asiwalete? na chini yake nimeeleza tofauti ya talk and speak.
 
Huwezi kuelewa walichokisema akina Bashe maana akili zipo kabatini zinapigwa na vumbi
Kauli ya rais hainatofautian na nilichoandika hebu soma utafakari. Nahisi Rais kanikopi! Mimi nimesema kama ana anaona export zimepungua kwanini asilime yeye kuongeza export? Rais kasema kama anaona kuna fura ya wawekezaji kwanini asiwalete? na chini yake nimeeleza tofauti ya talk and speak.
 
Back
Top Bottom