ni mpumbavu anaefurahia kufa kwa upinzani. Ni miwani ya macho kwa watawala, ni radio huru kwa wananchi wapenda maendeleo.Alafu unakuta mtu anasema Chadema itakufa,atakufa yeye Chadema itaendelea kuwepo.
ni mpumbavu anaefurahia kufa kwa upinzani. Ni miwani ya macho kwa watawala, ni radio huru kwa wananchi wapenda maendeleo.Alafu unakuta mtu anasema Chadema itakufa,atakufa yeye Chadema itaendelea kuwepo.
Wewe hapo ulipo unaweza kuendelea kumuheshimu mtu asiyekuheshimu na anayetaka kukuua??.Chadema bila kubadili na kufanya siasa za kuheshimu dola watapotea na kuozea sero
State agent
Taahira tu watu wameshakupuuzaChadema bila kubadili na kufanya siasa za kuheshimu dola watapotea na kuozea sero
State agent