Bunge letu linapoteza mwelekeo

regam

JF-Expert Member
Jan 4, 2011
269
51
Kwa jinsi nielewavyo mimi nchi inasimamiwa na mihimili mikuu mitatu(Bunge, Mahakama na Serikali kuu). Kili mhimili unafanya kazi zake "independently" ili kutekeleza majukumu yake. Kazi ya bunge ni kupanga maamuzi na sheria mbalimbali zitakazo simamiwa ili kutekeleza majukumu ya serikali. Kazi ya mahakama pamoja na mambo mengine ni kusimamia sheria mbailimbaili zilizotungwa na bunge ili kuiwezesha serikali kutekeleza majukumu yake. Na kazi au jukumu la serikali ni kuhakikisha inatekeleza majukumu mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya nchi na taifa kwa ujumla.
Kwa sasa kila mmoja anaweza kuona kwamba, majukumu ya hii mihimili ni kama hayaeleweki. Kinachotokea sasa ni kana kwamba hakuna mipaka ya utendaji wa kazi. Niovyo mimi ni kana kwamba sasa ni ushabiki tuu wa kiitikadi ndio unachukua nafasi yaani chama tawala dhidi ya upinzani. Hili liko wazi kabisa na hakuna mtu yeyote anayethubutu kilipigia kelele. Hii inadhihirika pale hata spika wa bunge anapokuwa akishabikia mambo ya kijinga yanayopelekea upotevu wa msingi wa majukumu ya bunge. Kianachoonekana ni kwamba, serikali(inayoongozwa na raisi na mawaziri) inajitahidi kiwaziwazi kushirikiana na wabunge (hasa wa chama tawala) na mahakama ili kufanya mambo ambayo ni aibu mbele ya wananchi wake.
Mytake:
Wanajf kama mojawapo wa "change agents" tufanye nini ili kulinusuru taifa letu hasa kwa kuhakikisha mihimili hii mitatu inafuata majukumu yake?
 
Hivi we mpaka leo unategemea serikali ya CCM kutuletea maendeleo?? we wawapi??
Hii ni trick ya CHADEMA bana..inaitwa ''delay techniq''...CCM hawajaijua bado...pakimbazuka 2015 hiyo...CCM
inabaki na madeni ya ahadi...wakti CDM inaingia Ikulu....!! Hii inapendeza sana...na naomba Bunge
liendelee hivihivi...
Tufanyaje: Tuendelee kupigwa na maisha magumu hivihivi hadi kieleweke!!
 
Kwa jinsi nielewavyo mimi nchi inasimamiwa na mihimili mikuu mitatu(Bunge, Mahakama na Serikali kuu). Kili mhimili unafanya kazi zake "independently" ili kutekeleza majukumu yake. Kazi ya bunge ni kupanga maamuzi na sheria mbalimbali zitakazo simamiwa ili kutekeleza majukumu ya serikali. Kazi ya mahakama pamoja na mambo mengine ni kusimamia sheria mbailimbaili zilizotungwa na bunge ili kuiwezesha serikali kutekeleza majukumu yake. Na kazi au jukumu la serikali ni kuhakikisha inatekeleza majukumu mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya nchi na taifa kwa ujumla.
Kwa sasa kila mmoja anaweza kuona kwamba, majukumu ya hii mihimili ni kama hayaeleweki. Kinachotokea sasa ni kana kwamba hakuna mipaka ya utendaji wa kazi. Niovyo mimi ni kana kwamba sasa ni ushabiki tuu wa kiitikadi ndio unachukua nafasi yaani chama tawala dhidi ya upinzani. Hili liko wazi kabisa na hakuna mtu yeyote anayethubutu kilipigia kelele. Hii inadhihirika pale hata spika wa bunge anapokuwa akishabikia mambo ya kijinga yanayopelekea upotevu wa msingi wa majukumu ya bunge. Kianachoonekana ni kwamba, serikali(inayoongozwa na raisi na mawaziri) inajitahidi kiwaziwazi kushirikiana na wabunge (hasa wa chama tawala) na mahakama ili kufanya mambo ambayo ni aibu mbele ya wananchi wake.
Mytake:
Wanajf kama mojawapo wa "change agents" tufanye nini ili kulinusuru taifa letu hasa kwa kuhakikisha mihimili hii mitatu inafuata majukumu yake?

Tuwaelimishe wabunge wa upinzani ili wajue kanuni za bunge.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom