unadhani hapo kwenye bold nyekundu kulikuwa na ulazma wa kutukana?
samahani hivi tukufu maana yake nini?maana nahisi neno tukufu lina maana pana sana.Nimekuwa nikifuatilia siasa za bunge letu tukufu kwa muda mrefu lakini uendeshaji wa bunge la kumi unakera, unakamia kulipiza visasi, kama umeelemea upande mmoja hivi, wabunge wanatukana wenzao , wanawadhalilisha .. viongoz wao kimyaah! et wafute kauli bhaasi. matukio ya hiv punde ya kusitishwa kwa bunge yamenishtua kidogo.. naomba kueleweshwa je muendelezo wa mnyukano wa hoja za upinzani dhidi ya zile za chama tawala, bila kujali kama zina maslah kwa taifa ama lah je ni Siasa za kuoneshana umwamba au ni kutojali kwa wabunge wa CCM na serikal yake? naomba ufafanuz barid wa suala hil nielewe vzuri maana hata wabunge wa upinzani wamekuwa wakipinga hoja za wenzao wa chama tawala lakini kwa hoja.., wakat wenzao wana2mia ubabe zaid! bado cjaelewa kuna nini behind bunge politics!! jamanie wanaojua naomba mnidadavulie!
Ndugu zangu wana jf naimani wingi wetu katika jukwaa hili nizaidi wa wabunge wa bunge letu la jamhuri ya Tanzania,sasa ninaomba tutumie nasi wingi huu kujibu swali langu lifuatalo kama wingi wa wabunge unavyotumika kuangamiza hoja za wabunge wa upinzani zenye tija kwa maendeleo ya wananchi
SWALI -wanaoafiki kua mwisho wa ccm ni 2015 waseme ndiyoo na wasioafiki waseme sioo
Nimekuwa nikifuatilia siasa za bunge letu tukufu kwa muda mrefu lakini uendeshaji wa bunge la kumi unakera, unakamia kulipiza visasi, kama umeelemea upande mmoja hivi, wabunge wanatukana wenzao , wanawadhalilisha .. viongoz wao kimyaah! et wafute kauli bhaasi. matukio ya hiv punde ya kusitishwa kwa bunge yamenishtua kidogo.. naomba kueleweshwa je muendelezo wa mnyukano wa hoja za upinzani dhidi ya zile za chama tawala, bila kujali kama zina maslah kwa taifa ama lah je ni Siasa za kuoneshana umwamba au ni kutojali kwa wabunge wa CCM na serikal yake? naomba ufafanuz barid wa suala hil nielewe vzuri maana hata wabunge wa upinzani wamekuwa wakipinga hoja za wenzao wa chama tawala lakini kwa hoja.., wakat wenzao wana2mia ubabe zaid! bado cjaelewa kuna nini behind bunge politics!! jamanie wanaojua naomba mnidadavulie!
Bunge linastahili kuongozwa na mwanasheria. Sasa Makinda ni karani hawezi kujua sheria/ kanuni za namna ya kuliendesha.