Mkuu bahati mbaya hata mimi nimeusikia juu kwa juu ktk radio ya gari nadhani ulikuwa unapigwa kwa mara ya kwanza so stay tuned utausikia tusasa mbona wewe mchoyo hivyo....kwanini usiweke hako ka clip tuka-enjoy haka ka weekend japo kwenye cm naana umeme mgogoro
Mkuu bahati mbaya hata mimi nimeusikia juu kwa juu ktk radio ya gari nadhani ulikuwa unapigwa kwa mara ya kwanza so stay tuned utausikia tu
MBONA tumeshazoea sasa..Bunge letu limekuwa kama SOKONI vile! Kweli wakiwezeshwa wanaweza.........!! where is SITA?Nimebahatika kuusikia wimbo huo kutoka kituo kimoja cha radio ukiwa umeingizwa clips za majadiliano ya mabishano bungeni kati ya spika,mwenyekiti,mawaziri na wabunge katika hoja mbalimbali...aibu!
e
atauza vibaya sanaaaaNimeusikia bonge la kituko ni wa dj nelly wa clouds kama sijakosea !
unaitwa SOKONI KARIAKOO
Kupata clip ya muziki uliopigwa redioni ni ngumu kidogo na hasa kama mimi ambaye niliusikilizia kwenye radio ya gari. Labda kama kuna mwenye uhusiano na watu wa hiyo radio tunaomba watuwekee hapa jamvini.Tbc napo unasikika? Uweke na hapa jf basi!!