fxb
Senior Member
- Jun 22, 2011
- 123
- 24
Wana JK nikiwa naelekea kutumika leo nasikia nyimbo ilopewa jina la Kariakoo humo ndani ni baadhi ya mambo yanayoendelea kwenye Bunge letu Tukufu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni kweli utasikia wengine wakisema..."haituhusu, kaa chini, order pliz, kifungu gani cha umenukuu" nk nk wadau mnaweza kueleza zaidi.
Je ndio tulivyowachagua waheshimiwa watutayarishie single kama ile?
Je ndio tulivyowachagua waheshimiwa watutayarishie single kama ile?