Shindu Namwaka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 4,911
- 3,081
Akili zingine azifai hata kufugia kukuCCM ndio mwalimu wa siasa hapa nchini na Afrika kwa ujumla wake kumbuka hilo.
Akili zingine azifai hata kufugia kukuCCM ndio mwalimu wa siasa hapa nchini na Afrika kwa ujumla wake kumbuka hilo.
Ndugai anadhani ni mkubwa kuliko Munguibara ya 71 ya katiba huwa inawahusu CCM tu? Ndugai tujibu
Mwaka huu ataongea kwa lugha zote kuhusiana na ubunge wa covid 19View attachment 621961
Moja ya habari kubwa za sasa hivi nchini Tanzania ni Lazaro Nyalandu ambae juzi ametangaza kujiuzulu nafasi zake zote ndani ya Chama cha Mapinduzi CCM pamoja na Ubunge wa Singida Kaskazini.
Baadae Spika Ndugai alihojiwa na vyombo vya habari na kusema kwamba pamoja na kusikia taarifa za kujiuzulu kwa Nyalandu kwenye vyombo vya habari, yeye bado hajapokea barua ya kujiuzulu kwa Mbunge huyo.
Sasa leo imetoka taarifa kutoka Ofisi ya Bunge Dodoma ikiwa imeandikwa kama inavyosomeka hapo juu..
Hii hapa Barua ya Nyalandu aliyomuandikia Spika
View attachment 622471
😆😆😆Mwaka huu ataongea kwa lugha zote kuhusiana na ubunge wa covid 19
COVID 19 VIMEKIMBILIA FISIEM SHWAIN NYIE HAYA VITAFUNENI.. SI MMEVIPENDRAAA!!!!!MAJIZI YANA KIMBILIA CHADEMA