Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,366
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Dodoma
==
Ameandika Mnyika katika ukurasa wake wa X, "Maoni yetu na ya wadau yamepuuzwa. Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa kwenye tovuti ya Bunge, miswada mibovu ya uchaguzi na vyama itajadiliwa kuanzia leo mpaka tarehe 2 Februari 2024. Tafsiri rahisi ni kuwa inakwenda kupitishwa bila kuanza na mabadiliko au marekebisho ya Katiba."
==
Ameandika Mnyika katika ukurasa wake wa X, "Maoni yetu na ya wadau yamepuuzwa. Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa kwenye tovuti ya Bunge, miswada mibovu ya uchaguzi na vyama itajadiliwa kuanzia leo mpaka tarehe 2 Februari 2024. Tafsiri rahisi ni kuwa inakwenda kupitishwa bila kuanza na mabadiliko au marekebisho ya Katiba."