Bunge lapitisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Namba 3 wa 2019

Hata wakipiga kura haisaidii! Wabunge wa ccm hawako huru bungeni na anaejaribu kwenda kinyume na msimamo huitwa na kuonywa. Ndio maana kamwe hutaona kura ya siri ikipigwa bungeni.
Kama ni hivyo Tanzania bado tunayo safari ndefu sana
 
Kuna mpuuzi mmoja aliwahi kusema kuwa tutawanyoosha MABEBERU lakini matokeo yake wote tunayaona. TUTANYOOSHWA hadi tunyooke.
 
“Inaenda kuunganisha kampuni na mwenye kampuni kuwa kitu kimoja, jambo ambalo tutachekwa duniani na hakuna mtu atakayekuja nchi hii kuwekeza fedha zake ili kutengeneza ajira, ili kulipa kodi,” amesema.

Zito anapotosha watu kwa kusema kuwa kampuni itaunganishwa na mwenye kampuni kuwa kitu kimoja.
Huenda aliongea hivyo kwa kutokujua sheria. Soma hiki kifungu hapa chini ili ujue na kutambua huo upotoshaji.

AMENDMENT OF THE COMPANIES ACT, (CAP. 212)

Construction Cap.212
3. This Part shall be read as one with the Companies Act, hereinafter referred to as the “principal Act”. Amendment of section 2 4. The principal Act is amended in section 2, by - (a) deleting the definition of the term “company” and substituting for it the following: “companymeans a company formed and registered under this Act or an existing company established for investment, trade or commercial activities and any other activity as the Minister may, by notice published in the Gazette, prescribe;

Kulingana na kifungu hicho hapo juu wapi mwenye kampuni anaungwanishwa na Kampuni yake?
 
Kwaio serikali inataka kuleta kichekesho cha dunia nzima wazungu waliona waitofautishe Sole Proproprietorship na Company maana Company ni mtu tofauti sasa hivi inamaana Soleproprietor na mwenye kampuni ni kitu kimoja
Wapi kampuni na mwenye kampuni wameunganishwa?
 
Back
Top Bottom