Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Kamati ya bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge imeanza kujadili pamoja na mambo menginekauli ya Meya wa jiji la Dsm Dr DIDAS MASABURI baada ya kutukana baadhi ya wabunge wa Dar es Salaam kuwa wanafikiria kwa kutumia makalio.
Naibu spika wa bunge Job Ndugai amekiri kamati hiyo kukutana jana na leo kujadili suala hilo.
Meya huyu amekuwa maarufu sana hapa JF ambapo wana jukwaa wamekuwa wakitumia msemo huo kuwakejeli wenzao.
source:Habari leo.
Naibu spika wa bunge Job Ndugai amekiri kamati hiyo kukutana jana na leo kujadili suala hilo.
Meya huyu amekuwa maarufu sana hapa JF ambapo wana jukwaa wamekuwa wakitumia msemo huo kuwakejeli wenzao.
source:Habari leo.