mbwiganyuki
Senior Member
- Nov 3, 2012
- 156
- 103
Mwambie kwa mwanahabari makini, kupotea kwa simu bungeni kwa mazingira tata, hiyo ni habari?
Kwa nini alitangaza?
Kibaka akiiba simu kariakoo, ni habari! Ila mbunge akiiba simu bungeni, ni habari ya kusisimua!