Angelina Rowland
Member
- Apr 17, 2013
- 32
- 2
Sasa kwani uongo? Ccm bana!!!!!
imejaa uchochezi,lawama na uwongo wa wazi.Atakuwa ameiandika peke yake.Jamaa ni kichwa maji na mtafuta sifa za kijinga.Lakini hawezi kukosa wajinga wenzie wa kumsapoti
haitatokea kurudia kosa lazima arudi kwenye mziki.
mods tuambieni kama na nyie mnatumika,mmeondoa ya nini?
What the fvck is wrong with this country?
Hata mbunge hana uhuru ndani ya bunge kusoma hotuba yake?
Sasa tutategemeaje kuwe na uhuru kwa muandishi wa habari ambaye hana "Parliamentary Immunity"?
They are just proving his case for him.
mkuu na wewe ni wa ajabu wewe unadhani kila aliyepo humu jf ni ccm utakimbia mpaka kivuri chako;pole bwana vumilia.Hivi nyie CCM hata kusoma hamjui au mnasumbua akili zetu tu, mbona taarifa iko wazi kwenye hotuba yake. List ni ya 2012 na source: Journalists Killed in 2012 - Committee to Protect Journalists
hizi porojo tu hamna hoja hapa.
Kweli ccm 2015 watasoma number
ifike hatua tuwakatae wanasiasa kama hawa wasioipenda nchi wako tayari kuongea uongo ndani ya bunge tukufu.