Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,599
Who is Maalim Seif? . He is nobody!.This stems from the fact that without Government of National Unity there would not be tangible roll out of development plans in Zanzibar. Even Tanzania can be affected by the problem," he said.
He noted that between 2010 and 2015, when Zanzibar was run by GNU, there was real change, but what happened after that had undermined all the achievements gained.
Sawa yaweza kuwa ni kwa nia njema ila je seif atakubali tena serikali ya umoja?
Hawa Waingereza bado wanadhani Tanzania ni koloni lao! .
Zanzibar sio nchi, ni sehemu ya JMT, nchi ni Tanzania pekee. Uchaguzi wa Zanzibar ni mambo ya ndani ya JMT, according to Vienna Convention, hakuna nchi yoyote duniani yenye mamlaka ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine! .
Hata wewe na mkeo, mnavyoamua muishije ni mambo yenu ya ndani, vivyo hivyo Zanzibar ni mwandani wa ndoa ya muungano, Waingereza wasituingilie kabisa mambo yetu ya ndani.
Uchaguzi wa Marejeo Zanzibar ni Huru na Haki! Tuyasubiri Matokeo, Tuyakubali!
Ukweli Mchungu Zanzibar: Hakuna Mgogoro Wowote wa Kisiasa, Shein ni Rais Halali, Uchaguzi ni 2020!
Uhalali wa Rais Dr. Shein Wa Zanzibar ni Kutokana na Uchaguzi Halali, Huru na Wa Haki! .
Pascal