Bunge la Uingereza lajadili kuhusu Zanzibar

inaelekea hata mtoa mada huijui historia ya Zanzibar, hao unaowashabikia ndio chanzo cha matatizo yanayotokea Zanzibar leo halafu wanataka watushauri kutatua tatizo walilolitengeneza mawazo yao yamekaa kikoloni wakifikiri wanaweza kurudi tena kututawala
 
safi sana wanatikiswa huku na huku
Maalim seif ameitambulisha dunia kuhus yaliyojiri Zanzibar oct 25.
Tusiandikie mate tusubirie tuone
Ni mjinga tu asiyetambua kwamba Dr Shein ni Rais wa Zanzibar mpaka 2020. Watu wajiandae kwa Uchaguzi wa 2020 huyo Maalim asiwahadae watu hakuna kitakachobadilika!
 
Mkuu Pohamba, Seif akiingia sehemu halafu akiondoka tu watu wa kazi wanakwenda mahali hapo kusawazisha mambo.

Kuna issue ambayo wazungu wakiambiwa na watu wa kazi basi yote aliyoyasema mzee mzima Seif yanaonekana kama hayana maana.

wewe ndio wale munaomanishwa na kukaririshwa kwamba Tanzania njaa hamna., sasa kama Wazee wa kazi wanaingia kusawazisha mambo kwanini hili bunge lilijadili? kwanini Liberal waliichukua ile ajenda kama ajenda muhimu katika ule mkutano wa kimataifa na wao waliiona kwamba ni muhimu? watu wa kazi walikuwa wapi mpaka ajenda inafika kwenye meza ya UN?

Vipi kuhusu posho la Milleniun wazee wa kazi walikuwa wapi kupata zile hela?. Mwafaaa

Endeleeni kujipa moyo mtatawala milele.
 
inaelekea hata mtoa mada huijui historia ya Zanzibar, hao unaowashabikia ndio chanzo cha matatizo yanayotokea Zanzibar leo halafu wanataka watushauri kutatua tatizo walilolitengeneza mawazo yao yamekaa kikoloni wakifikiri wanaweza kurudi tena kututawala

Mwafaaaa...
 
wewe ndio wale munaomanishwa na kukaririshwa kwamba Tanzania njaa hamna., sasa kama Wazee wa kazi wanaingia kusawazisha mambo kwanini hili bunge lilijadili? kwanini Liberal waliichukua ile ajenda kama ajenda muhimu katika ule mkutano wa kimataifa na wao waliiona kwamba ni muhimu? watu wa kazi walikuwa wapi mpaka ajenda inafika kwenye meza ya UN?

Vipi kuhusu posho la Milleniun wazee wa kazi walikuwa wapi kupata zile hela?. Mwafaaa

Endeleeni kujipa moyo mtatawala milele.
Suala sio kutawala milele. Hao wazungu wameshazoeleka kusikika wakiongelea masuala ya chaguzi za nchi masikini kama zetu hizi.
Unawakumbuka MCC na mbwembwe zao, mbona ni serikali ya Marekani iliyokuja na ahadi nyingine ya fedha, tena nyingi tu?.
Watu wa kazi wapo kazini, kuna issue ambazo wanakuwa wanamhusisha nazo mzee Seif, wazungu ukiwaambia masuala ya hizo issue tena wakisikia kutoka kwa watu wa kazi, huwa wanaamini.
Halafu kumbuka kwamba miaka ya nyuma Seif alikuwa analalamika kuibiwa lakini mwaka jana akafanya mchezo ambao alizoea kufanyiwa. Kwa hiyo wala msitafute sababu za kumpa umalaika na serikali ya mapinduzi ikapewa ushetani. Ni mwanasiasa tu, mwenye hulka zote za kisiasa.
 
Suala sio kutawala milele. Hao wazungu wameshazoeleka kusikika wakiongelea masuala ya chaguzi za nchi masikini kama zetu hizi.
Unawakumbuka MCC na mbwembwe zao, mbona ni serikali ya Marekani iliyokuja na ahadi nyingine ya fedha, tena nyingi tu?.
Watu wa kazi wapo kazini, kuna issue ambazo wanakuwa wanamhusisha nazo mzee Seif, wazungu ukiwaambia masuala ya hizo issue tena wakisikia kutoka kwa watu wa kazi, huwa wanaamini.
Halafu kumbuka kwamba miaka ya nyuma Seif alikuwa analalamika kuibiwa lakini mwaka jana akafanya mchezo ambao alizoea kufanyiwa. Kwa hiyo wala msitafute sababu za kumpa umalaika na serikali ya mapinduzi ikapewa ushetani. Ni mwanasiasa tu, mwenye hulka zote za kisiasa.
Hiyo ndio theory ya akili yako ilipofikia., endelea kuamini hivyo.
 
Hakuna nchi ya ulaya inaweza kuingilia suala lolote la Znz kama Zanzibar,suala lolote linalohusu Zanzibar linajadiliwa kama la Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania,uliwahi kusikia balozi wa Zanzibar nchini uingereza au ujerumani??,.Ndo maana Maalim Seif kazunguka ulaya na US mwaka jana,kaambulia patupu,kaambiwa suala lako njoo nalo kama Jamhuri ya Muungano wa TZ tutakusikiliza,kaishia kupanda ndege na kurudi kimya kimya.Raisi wa Znz ni Dk Shein,huyo mwingine atabakia kuwa raisi wenu wa mioyo wa kudumu kama alivyo huyu wa huku raisi wa kwenye mitandao,hizi nyingine za sijui bunge la uingereza ni ngonjera za darasa la tatu tu.
 
Viongozi wa Africa watajitia kitanzi muda si mrefu kuhusu swala la Gambia kwani wakiingilia Gambia wanajitwisha zigo la kubeba kwa nchi nyingine kama yatatokea ya gambia
 
acha papara Zanzibar iko mikononi mwa wazanzibari very soon
Vipi? Au ndio ndoto za alinacha?
Tunahitaji New method kwa hili limesha bumaaa.
Ccm wanajuwa kuwa hatuwezi kuwakata hata ukucha unaoninginia, Tumeshindwa na Mungiki wa lipumba, itakuwa janjawiri wa ccm, watatuibia kila mwaka mpaka jua litue, kwa wingi wa subira tuu isiyo na vitendo Ushindi NG'O .
Wazungu hawaji mpaka pawepo na pressure ya ndani kisha pawepo na Maslahi yao Mapana.
 
Back
Top Bottom