mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Je kama tutakuwa na safu ya bunge la Wana Jf, members kama wabunge mngeshauri ni hatua gani zichukuliwe dhidi ya mawaziri hawa? Makongoro Mahanga, Sofia Simba, Celina Kombani, William Lukuvi, Mary Nagu, Hussein Mwinyi, John Magufuli, William Ngeleja, Ezekiel Maige, Harrison Mwakyembe, Samuel Sitta, Jumanne Maghembe, Dk Kawambwa, Adam Malima,Lucy Nkya, Stephen Wassira, Mathias Chikawe, Mustafa Mkullo na Mizengo Pinda. Makosa yao ni kuanzia kughushi shahada, upanya, matusi, ufisadi, uzembe, uongo, uzinzi na mengine.