Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 3,559
- 7,914
Dunia ya sasa imebadilika, mambo yote ni mtandaoni.Wakikosa ubunge wanaweza kuukwaa ukuu wa wilaya, ama ukatibu tawala ama ukuu wa mkoa. Asee kuna mengi ya kujifunza Tanzania mazee
Waha HaoHalafu mbona wana vifua vilaini sana hawa wabunge tarajali?