Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,542
- 93,146
Waziri wa Jamhuri ya Tanzania anaweza kuwa Spika?
Bunge la Katiba lina Mwenyekiti halina Spika.
mh sita na mzee wa vijisenti huenda wakachuana kutaka kuchaguliwa uspika habari zinadai mh sitta anaonekana kinara zaidi na anapigiwa chapuo na wengi ,bila huyu atasimamia maslahi ya wengi na kuwaambua ccm ambao hawataki serikali tatu wakti wananchi tunataka serikali tatu.
sitta is a coward,mnakumbuka alivyoua mjadala wa richmond baada ya kutishiwa kuporwa kadi?kwani msimamo wa ccj ni upi kwenye hii katiba?
Hivi huyu mama kaolewa
Lusinde naibu mdee.
Kwa makusudi, Jaji Warioba, Joseph Butiku na John Kabudi wamaeamua kudharau maoni ya Waislamu walio wengi katika nchi hii kwa maslahi ambayo hakika sio yatakayo jenga amani katika nchi hii.
Anyway, Wameshaambiwa kua, Rasimu sio katiba. Hoja zinaweza kuongongezwa, kubadilishwa na kufutwa ikibidi.
Alichokifanya Mheshimiwa Rais, ni kile waswahili wanakiita, Mchawi mpe mwana alee, Ili akimuua hawezi kujificha.
Waswahili wanasema, usipo uziba ufa, utajenga ukuta.
Kwa sababu haiingii akilini kudharau maoni ya kundi kubwa kama hilo katika jamii, maoni ambayo viongozi wao wote wa kidini wameyatoa. Hebu jamani jaribuni kua rational kidogo tu hapa.
Nina maana kuwa Spika akitoka Zanzibar, Naibu atoke Bara; Spika akiwa Mwanamke, Naibu awe Mwanamme; na Spika akiwa Mwislamu, Naibu awe Mkristo. Ni mambo ya kubalance kama ambavyo Rais wetu Mhe Kikwete huwa anajitahidi kutosheleza wakati anaunda baraza ya Mawaziri, jee nimesomeka???!!!
Hela zake ziko wap vile?sita ataharibu sana mjadala, wamweke msomi wa uchumi kutoka chuo alichosoma Obama MHESHIMIWAA ANDREW CHENGE
sita ataharibu sana mjadala, wamweke msomi wa uchumi kutoka chuo alichosoma Obama MHESHIMIWAA ANDREW CHENGE
Nashauri ateuliwe Mchungaji Christpher Mtikila. Hapo patachimbika.
hahaha kazi kweli vip huyo atakayetoka Zanzibar atakua Mpemba au Muunguja? Huyo atakayetoka bara atatoka Kusini,Kaskazin,Mashari au Magharibi mwa Tanganyika? Back kwenye dini atakayekua Mkristo atatoka RC,Lutheran,Pentecoste au? TANZANIA NI WAMOJA hii dhana itatupeleka kubaya kubaguana kikabila na kidini.na ukiona mtu anakaribu kutafuta ratio huyo ni Mbaguzi.