Mkuu umekurupuka. Hiyo picha ni ya siku nyingi. Ni pale Mh. Lema alipowapa za uso CUF kuwa ni chama marafiki na Liberal Democrats (waliberali) ambao pamoja na mambo mengine wanaunga mkono mshoga. Tifu lilizuka CUF wakataka kuzichapa. Usidanganye watu eti hiyo picha ya wabunge wa katiba.
Bungeee Bungeee Bungeee, Hawa Non-Pro sijui wanafanya nini humo Bungeni, shughuli yote imeshatekwa na wanasiasa, kinachoendelea ni AIBU kwa nchi hii! Hivi kweli Tanzania hatuna wataaluma wanaoweza kukaa na kufanya kazi kwa ufasaha na bila kuvutia kamba upande kwa faida zao kisiasa?...SHAME.