Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,335
- 3,902
Kwa wale wanaofanyia kazi serikali watakubaliana na mimi kuwa sghughuli nyingi za serikali zimesimama kabisa ukitoa mishahara kungojea kuisha kwa bunge. Miezi miwili imeshapita tangu mwaka wa fedha uanze. Hivyo ni kwa nini bunge lisianze mwezi machi au aprili kila mwaka ili ifikapo julai mosi matumizi yaanze badala ya kuwa na mwaka wa miezi kumi? Ni mawazo tu.