makongoromusa
Member
- Feb 6, 2012
- 16
- 1
Katika kile kinachoitwa sintofahamu ya serikali ya CCM na namna jinsi bunge linavyoendeshwa kuna tetesi kwamba bunge la bajeti kukaa mwezi Aprili badala ya mwezi wa saba kama inavyokua ikijumuishwa na shughuli zingine za mwezi huo wa nne.
Ikumbukwe kwamba graduates wote waliomaliza kuanzia mwezi wa saba mwaka jana hawajaajiliwa kwa maaana hiyo kama tetesi hizi ni za kweli kuna uwezekano ajira zikatangazwa baada ya bunge la Aprili kama kuna mwanajamvi anataarifa sahihi juu ya hili atujuze humu.
Ikumbukwe kwamba graduates wote waliomaliza kuanzia mwezi wa saba mwaka jana hawajaajiliwa kwa maaana hiyo kama tetesi hizi ni za kweli kuna uwezekano ajira zikatangazwa baada ya bunge la Aprili kama kuna mwanajamvi anataarifa sahihi juu ya hili atujuze humu.