Nimecheka sana yaan wangeumbuka bora walivyoyeyusha juu kwa juuLissu kiboko yao.....wameepuka aibu itakayowapata......
Muwakilish wa Cuf kapelekwa nan? (Team Buguruni au Team Sawasawa)
umesahau kuwa wabunge wa CHADEMA watampigia kura huyo wa CUF-Seif.yaani jina moja la CUF-Maalim Seif na majina matatu ya CUF-Sakaya. Chama kimoja kimeketi Halmashauri Kuu mbili na zote serikali imezikubali. Yule wa CUF-Maalim Seif hatashinda maana hatapata kura hata moja ya CCM bali mmoja wapo wa wale watatu wa CUF-Sakaya ndio atashinda
We ulikuwa hajui? Boko Haram wanaweza kuvamia inabidi wajihami, twawala hawachelewi kutafuna mtuWapinzani wanahubiri Amani huku wameshika mapanga
Ndio watajua faida ya migogoro.Wakati Lipumba anamwita sefu wakae wajadiliane wapeleke jina moja alidhani anaitwa kuhusu mgogoro wa uongoziyaani jina moja la CUF-Maalim Seif na majina matatu ya CUF-Sakaya. Chama kimoja kimeketi Halmashauri Kuu mbili na zote serikali imezikubali. Yule wa CUF-Maalim Seif hatashinda maana hatapata kura hata moja ya CCM bali mmoja wapo wa wale watatu wa CUF-Sakaya ndio atashinda
kati ya mwanamke ni nani? naomba mtusaidie na mm najitolea ntamnunulia diraNadhani lile sakata la kutaka kuizua CHADEMA kwa kitendo cha kuleta wagombea wake wote wawili wa jinsia ya Kiume limekwisha, kwa maana CHADEMA walikuwa wako sahihi kwa 100%.
Kwa mantiki hiyo, katika nafasi Tisa zinazogombaniwa, nafasi mbili tayari zimeshapata washindi, yaani wagombea wawili wa CHADEMA (Wenje na Marsha) automatically ni wabunge wa bunge la Afrika Mashariki(EALA) kwa kuwa wamepita bila kupingwa.
Huna jipya kibendera, ujinga wa kuingia ulingoni na silaha wanao chama cha makabaila sio upinzani, tuwekeni kwenye mizani mpime bila figisufigisu muuote moto wake.Wapinzani wanahubiri Amani huku wameshika mapanga