Bunge kurusha matangazo ya vikao vya bunge

Bunge kurusha matangazo ya vikao vya bunge

Kwa Tanzania ni utaratibu usio na tija. Nchi nyingine wanafanya hivyo wakiwa na dhamira njema, kwetu inafanyika kwa nia ya kudhibiti nini wananchi waone na nini wasikie.

Tunaongelea kubana matumizi, Bunge linaongeza matumizi kwa kuongeza vitengo au kuongeza kazi za vitengo. TBC walisema wanaacha kurusha live kwa sababu ya gharama, kama Bunge lilikuwa na hela kwa nini wasiimbie TBC kuwa Bunge lina uwezo wa kulipia gharama za urushaji wa vipindi vya Bunge?
 
Hakuna aliyestuka kwamba watarusha kile ambacho wataona kinafaa. Hapa kutakuwa na censorship ya taarifa toka bungeni. Tusubiri tuone.
 
Kuna kitu hakijakaa vizuri hapa ni bahati mbaya hakijaeleweka!
 
Siafiki sana nina hisi wanataka kuwa na control ya wanacho taka kirushwe
 
If video camera from independent tv stations will be barred, there will be no room for immediate side-line reactions or opinion from MPs and govt spokespersons: For instance views will not get an immediate feedback if some MPs will resorts to marching out of the house to express their dismay over a certain matter or house proceedings.
 
SIONI UMUHIMU KUWA LIVE NIBORA UONYESHWE JIONI WATU WAKO NYUMBANI..KWANI MCHANA NI MUDA WA KAZI TU !!!!!

Mbona mechi za mipira ya Ulaya mnajazana kibao kwenye mabaa na hamsubiri kuangalia recorded???
 
Always feeding us what they want and not what we want......all the best
Wataajiri wafanyakazi kwa ajili hiyo, hii ni nzuri, lakini mbaya yake ni kuwapa masharti makali kuwa hakuna kumchukua anayelala na kupiga miyao. Utamu utapungua.
 
Maumivu huanza poooleepolee! Wataanza na live kidogo, baadae tutapewa vipindi vilivyohaririwa tuviluuk usiku. Leoooo katika Bungeeeee!
 
Katika hali ya kusikitisha ni pale sisi wananchi tunapoambiwa na kiongoz flan wa serikali yako kuwa Bunge halitaonyeshwa livee. Kwakweli swala hili si haki kabisa kwetu sisi raia maana tutashindwa kuwasikia wabunge wetu wawapo bungeni wakichangia hoja kuhusiana na bajet naomba mh. rais ukiagize kile kikosi chako cha utafiti kikuletee taarifa kama ni kweli kurusha bunge live ni gharama kama ulivyoshauliwa.

Maana naona hiyo inaweza ikirudisha nyuma sana jitihada zako za kutumbua majipu na badala yake wale wasiopenda utumbuaji wako wa majipu kukurudisha nyuma kwa kuwafanya wananchi kutoona jinsi bajet yako ulivyoisukaa na namna serikali itakavyochukua hatua juu ya watafunaji wa pesa kulitia ripot ya CAG. Mh rais kwa heshma kubwa tunaomba uliangaliiee hili laweza likawa ni hujuma juu ya utawala wako.

Naomba waandishi wa habarr mtumie kalamu zenu na karasi kupigia kelele swala hili linalotukwaza sana sisi wananchi
 
Mkuu, mkulu hataki kukosolewa. Alishalitolea maamuzi hili. Bunge halitaonyeshwa live. Bali litarekodiwa halafu usiku mtaonyeshwa vipande fulani fulani.
Kwa mujibu was Nape serikali ya awamu ya tano inafanya hivi ili:-
1. Kubana matumizi
2. Watu wafanye kazi (wasiangalie bunge wakati wa kazi).
3. Kuongeza wigo wa watazamaji wa bunge (maana vipande vya mjadala vilivyorekodiwa vitarushwa usiku watanzania wengi wakiwa majumbani mwao).

Tutafika tu.
 
Katika hali ya kusikitisha ni pale sisi wananchi tunapoambiwa na kiongoz flan wa serikali yako kuwa Bunge halitaonyeshwa livee. Kwakweli swala hili si haki kabisa kwetu sisi raia maana tutashindwa kuwasikia wabunge wetu wawapo bungeni wakichangia hoja kuhusiana na bajet naomba mh. rais ukiagize kile kikosi chako cha utafiti kikuletee taarifa kama ni kweli kurusha bunge live ni gharama kama ulivyoshauliwa.

Maana naona hiyo inaweza ikirudisha nyuma sana jitihada zako za kutumbua majipu na badala yake wale wasiopenda utumbuaji wako wa majipu kukurudisha nyuma kwa kuwafanya wananchi kutoona jinsi bajet yako ulivyoisukaa na namna serikali itakavyochukua hatua juu ya watafunaji wa pesa kulitia ripot ya CAG. Mh rais kwa heshma kubwa tunaomba uliangaliiee hili laweza likawa ni hujuma juu ya utawala wako.

Naomba waandishi wa habarr mtumie kalamu zenu na karasi kupigia kelele swala hili linalotukwaza sana sisi wananchi
C
Katika hali ya kusikitisha ni pale sisi wananchi tunapoambiwa na kiongoz flan wa serikali yako kuwa Bunge halitaonyeshwa livee. Kwakweli swala hili si haki kabisa kwetu sisi raia maana tutashindwa kuwasikia wabunge wetu wawapo bungeni wakichangia hoja kuhusiana na bajet naomba mh. rais ukiagize kile kikosi chako cha utafiti kikuletee taarifa kama ni kweli kurusha bunge live ni gharama kama ulivyoshauliwa.

Maana naona hiyo inaweza ikirudisha nyuma sana jitihada zako za kutumbua majipu na badala yake wale wasiopenda utumbuaji wako wa majipu kukurudisha nyuma kwa kuwafanya wananchi kutoona jinsi bajet yako ulivyoisukaa na namna serikali itakavyochukua hatua juu ya watafunaji wa pesa kulitia ripot ya CAG. Mh rais kwa heshma kubwa tunaomba uliangaliiee hili laweza likawa ni hujuma juu ya utawala wako.

Naomba waandishi wa habarr mtumie kalamu zenu na karasi kupigia kelele swala hili linalotukwaza sana sisi wananchi
Aaah! Wananchi tunatakiwa tuchape kazi mchana Bunge tuangalie usiku. Hata lisingekuwepo tatizo la gharama bado isingekuwa sawa watu kupoteza muda wa kazi kuangalia tv badala ya kufanya kazi.
 
Hivi kama unaendesha mambo yako kwa uwazi na ukweli kwa nini ukatae watu kupata habari live, hapa kuna vitu vinafichwa
 
Back
Top Bottom