Kweli ukiruhusu mke wako kuenda kwenye hizo slooni za vichochoroni na za bei ya chini usitegemee ndoa yako kuendelea..........hawo wanawake hutowaga ushuhuda wa uongo ili mwezie haribikiwe kama wao.View attachment 1055094
Hili bunge halina speaker, halina Miskolc ya maadili, halons kamati ya nidhamu, halons posho lakini lina wabunge
Huyo mke nae abebe akili zake.Kweli ukiruhusu mke wako kuenda kwenye hizo slooni za vichochoroni na za bei ya chini usitegemee ndoa yako kuendelea..........hawo wanawake hutowaga ushuhuda wa uongo ili mwezie haribikiwe kama wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hohoho!!!!! most of our wives(warebo) have simple brains vurnable for manipulation easily......Huyo mke nae abebe akili zake.
nikikukuta kwenye bunge hili.... jioni ukirudi home nakunyang'anya jimbo!ha ha ha ha ha ha ha wakimjaza ujinga hapo wana kufix asubui tu
Hahahaaaa ndo yalonikuta
Hapo MTU kati ni Mimi nasukwa.
Halafu walionizunguka ni manengelo Hawachi Mzigua90
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha ha ha au unafanya kama malim seif unahamia ACTnikikukuta kwenye bunge hili.... jioni ukirudi home nakunyang'anya jimbo!
hata saloon za being mbaya,kwa kifupi usiruhusu mkei kukaa na wanawake wasio na staha hata Benki wapo,mkeo kutwa na marafiki wasio na ndoa ,Mara kwenda mabaa ,utavuna ,shetani anaziwinda sana ndoa halali sasa wewe kalia mambo ya its a free world ,haki sawa ,no wao ni wadhaifu wanapenda kujifunza mapya akisikia jambo wenzie wanaona kawaida kama kucheat ,drama za mjini ,ulevi,etc kibinadamu na yy anatamani na hajui vina mlango wa kuingilia tu wa kutoka ni talaka tamuKweli ukiruhusu mke wako kuenda kwenye hizo slooni za vichochoroni na za bei ya chini usitegemee ndoa yako kuendelea..........hawo wanawake hutowaga ushuhuda wa uongo ili mwezie haribikiwe kama wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
hata saloon za being mbaya,kwa kifupi usiruhusu mkei kukaa na wanawake wasio na staha hata Benji wapo
Wanachuo wana boom wadada wa salon Sele analipa kodi ya mwezituseme ukweli..hakuna sehemu ovu km saluni...kuna kipindi nilienda asbh kusuka nikarudi jion...jaman stry zilizopo mle..yaan km mumeo ni kiw3mbe utajua..kila gari inayopita wanaijua...sijui nisemeje...nimekuja gundua waume zetu wanawasodoma sana wadada wa saluni..yaan habar za kufir.a.na ni kawaida mnooo saluni...!..yaan mtu haoni shida kusema Eh Sele kaniiambia ananipitia akanisodome..huyo sele mume wa mtu na heshima zake...!wanadai wadada wa salun hawana usumbufu km wanachuo..ptu
Wanachuo wana boom wadada wa salon Sele analipa kodi ya mwezi
Kheri upauke, unakopwa hela ya vikoba ikalipie pango Utaambiwa rafiki yangu Hamisi mkewe mgonjwa, ameahidi kuzirudisha wiki ijayo.Balaa sana..imagin3 mdada ana rum 2..@50000/=.. alipiwe 6mths...laki 6 imekatika...mke ndan amepaukaaaa