Bunge hatari kupata kutokea duniani, mjadala wa mahusiano yako ukisikia hapa umekwishaa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,663
215,530
1553675030834.jpeg

Hili bunge halina speaker, halina mipaka maadili, halina kamati ya nidhamu, halina posho lakini lina wabunge
 
View attachment 1055094
Hili bunge halina speaker, halina Miskolc ya maadili, halons kamati ya nidhamu, halons posho lakini lina wabunge
Kweli ukiruhusu mke wako kuenda kwenye hizo slooni za vichochoroni na za bei ya chini usitegemee ndoa yako kuendelea..........hawo wanawake hutowaga ushuhuda wa uongo ili mwezie haribikiwe kama wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli ukiruhusu mke wako kuenda kwenye hizo slooni za vichochoroni na za bei ya chini usitegemee ndoa yako kuendelea..........hawo wanawake hutowaga ushuhuda wa uongo ili mwezie haribikiwe kama wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
hata saloon za being mbaya,kwa kifupi usiruhusu mkei kukaa na wanawake wasio na staha hata Benki wapo,mkeo kutwa na marafiki wasio na ndoa ,Mara kwenda mabaa ,utavuna ,shetani anaziwinda sana ndoa halali sasa wewe kalia mambo ya its a free world ,haki sawa ,no wao ni wadhaifu wanapenda kujifunza mapya akisikia jambo wenzie wanaona kawaida kama kucheat ,drama za mjini ,ulevi,etc kibinadamu na yy anatamani na hajui vina mlango wa kuingilia tu wa kutoka ni talaka tamu
 
hata saloon za being mbaya,kwa kifupi usiruhusu mkei kukaa na wanawake wasio na staha hata Benji wapo


tuseme ukweli..hakuna sehemu ovu km saluni...kuna kipindi nilienda asbh kusuka nikarudi jion...jaman stry zilizopo mle..yaan km mumeo ni kiw3mbe utajua..kila gari inayopita wanaijua...sijui nisemeje...nimekuja gundua waume zetu wanawasodoma sana wadada wa saluni..yaan habar za kufir.a.na ni kawaida mnooo saluni...!..yaan mtu haoni shida kusema Eh Sele kaniiambia ananipitia akanisodome..huyo sele mume wa mtu na heshima zake...!wanadai wadada wa salun hawana usumbufu km wanachuo..ptu
 
tuseme ukweli..hakuna sehemu ovu km saluni...kuna kipindi nilienda asbh kusuka nikarudi jion...jaman stry zilizopo mle..yaan km mumeo ni kiw3mbe utajua..kila gari inayopita wanaijua...sijui nisemeje...nimekuja gundua waume zetu wanawasodoma sana wadada wa saluni..yaan habar za kufir.a.na ni kawaida mnooo saluni...!..yaan mtu haoni shida kusema Eh Sele kaniiambia ananipitia akanisodome..huyo sele mume wa mtu na heshima zake...!wanadai wadada wa salun hawana usumbufu km wanachuo..ptu
Wanachuo wana boom wadada wa salon Sele analipa kodi ya mwezi
 
Balaa sana..imagin3 mdada ana rum 2..@50000/=.. alipiwe 6mths...laki 6 imekatika...mke ndan amepaukaaaa
Kheri upauke, unakopwa hela ya vikoba ikalipie pango Utaambiwa rafiki yangu Hamisi mkewe mgonjwa, ameahidi kuzirudisha wiki ijayo.

Ukikutana na Hamisi kumuuliza unashindwa.
 
Back
Top Bottom