abduel paul
Senior Member
- Nov 23, 2010
- 133
- 5
Nina kila sababu ya kusema hivi, kwani kabla ya mwana JF yoyote kujibu hii mada, apate walau muda mfupi wa kuitafakari, kwanza ni bunge ambalo wabunge wana hoji kila jambo, kwani hakuna anaye bisha kwamba mabunge yoote yaliyo pita ndiyo mabunge yaliyopitisha na kuleta matatizo makubwa katika nchi yetu, wakati mwingi walikua wanalala bungeni, na kusema ndioooooo!!!! Imepitaaaaaa!!!!! lakini sasa tumeona ilivyo kila bajeti na muswada unaoletwa kujadiliwa unahojiwa kila nyanja na kila jambo, kwanini tusilione bunge hili kuwa ni bora? upendeleo wa kutoa nafasi ni jambo la wazi ambalo linaonekana pale bungeni wakati mwingine tumekuwa tunashuudia hata Spita mwenyewe au naibu wake, au wenye viti wake, kwa kuwahofia mawaziri utakuta wanajisahau nakujikuta wanapata vigugumizi na kutaka kuwaita wao viongozi hali wao ndio viongozi, pale bungeni ndipo ambapo mbunge kamuuliza swali waziri 1 + 1 ni ngapi? waziri anajibu 1,000/- Spita anasema vizuri, haya swali la nyongeza, yaani spika haoni hata haja ya ku annalyse majibu yanayotolewa heti kwakuwa tu yameulizwa na mbunge, nini sababu ya yeye kuwa kiongozi??? Mbunge anaunga mkono hoja 100% wakati kakosoa kila kona ya hoja iliyo tolewa, na hapo inaonekana kuwa sawa!!! why???
Kwanini isiwe, Naunga mkono hoja kwakuwa sioni kasoro ya hoja iliyo tolewa! au nataka jambo au mambo fulani yatolewe maelezo na kurekebishwa ndipo niunge mkono hoja!! Embu tuangalie Bunge letu kwa jicho la tatu. sasa pale ni pamoto kwa kila waziri na mtendaji mimi nina imani hiyo! nidhamu wanayo itaka wazee, na waTZ wachache itatufunga kiakili, mi ujinga, tunataka watu wanao hoji ikibidi hata kuvunja hiyo nidhamu kwani kwasasa haita tusaidia,
Kwanini isiwe, Naunga mkono hoja kwakuwa sioni kasoro ya hoja iliyo tolewa! au nataka jambo au mambo fulani yatolewe maelezo na kurekebishwa ndipo niunge mkono hoja!! Embu tuangalie Bunge letu kwa jicho la tatu. sasa pale ni pamoto kwa kila waziri na mtendaji mimi nina imani hiyo! nidhamu wanayo itaka wazee, na waTZ wachache itatufunga kiakili, mi ujinga, tunataka watu wanao hoji ikibidi hata kuvunja hiyo nidhamu kwani kwasasa haita tusaidia,