Kwa Mantiki hiyo ni afadhali mtu kununua Airtel Bundle ya Week 3GB kwa Tsh6,000/-.
Kama kuna Mtu ambaye Keshaijaribu Airtel na Bundle yake ya 3GB ya wiki toka Airtel atujuze kuhusiAna na speed yake kama inaridhisha kama ya Voda.
Ikiwa Airtel unaweza kupata 12GB kwa Mwezi kwa Kiasi cha Tsh24,000, Je! One month Unlimited Bundle ya voda ambayo inakosti 30,000 watakuwa wanatoa Bundle yenye Ujazo gani!?????
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums