mzalendo-wa-tz
JF-Expert Member
- Dec 15, 2014
- 404
- 187
Kumbe ndicho alichokwenda kusisitiza kule kanisani Tabora mgombea wenu kwamba walutheri wajiandae kuingia ndani ya safina!! Haya kama kwa udini huu tutafika sijui!!
Ndio mlichozoea hicho kuwagawa watz kwa dini zao, ubara na visiwani na makabila. Sasa huo udini umetokea wapi hapa? Ila mwaka huu ni Kufa kwa nyani......