Bundi kutua tena CCM!

Kumbe ndicho alichokwenda kusisitiza kule kanisani Tabora mgombea wenu kwamba walutheri wajiandae kuingia ndani ya safina!! Haya kama kwa udini huu tutafika sijui!!

Ndio mlichozoea hicho kuwagawa watz kwa dini zao, ubara na visiwani na makabila. Sasa huo udini umetokea wapi hapa? Ila mwaka huu ni Kufa kwa nyani......
 
Mods wa JF walivyo watu wa ajabu mtauacha uzi huu wa kipuuzi uendelee kuwepo

Changia hoja usiishie kulalamika tu!Sio lazima kila unachokipenda kuandikwe humu, Yaliyoandikwa humu ndiyo tanayosemwa mtaani na yatatokea.
 
Hakuna kitu kama hicho isipokuwa kilichopo ni kuwa Ukawa kuna mgogoro unatokota na soon kuna kitu kitalipuka. Wengi mtakuwa mmeobserve ukimya uliopo huko karibuni, sasa hii rumour itakuwa ni tactic ya kutuzubaisha wakati wakijaribu kufunikafunika uozo unaosambaa. Mtakuja kuniambia.
haya ndugu wapi mwigulu?wapi team kampeni tuliyoambiwa?ndo ujue huko kimenuka.mafunguo anadai risiti kwa kila kitu.vijana wamegoma.
 
itabaki ile ile yenye misingi ya baba wa taifa maana wanaoondoka ni WATU WACHAFU, MAJIZI, MAFISADI, MAJAMBAZI , WANAOJINYEA NA WASIO WAADILIFU, ivo watakaobaki ni wale WENYE AKILI TIMAMU, WAADILIFU, WAAMINIFU, WENYE HOFU YA MUNGU KWA KUWA IKULU NI MAHALI PATAKATIFU. nadhani umeelewa sasa dogo


Sasa CCM Itakuwaje ile ile wakati watu wanaondoka?
 
G Sam alishasema humu kuwa kutakuwa na kitu kama hicho..na pia kauli ya lowasa aliposema..'' tunaanza kampeni rasmi october''..
 
Last edited by a moderator:
Kumbe ndicho alichokwenda kusisitiza kule kanisani Tabora mgombea wenu kwamba walutheri wajiandae kuingia ndani ya safina!! Haya kama kwa udini huu tutafika sijui!!
vipi aliyeomba kura za wasukuma sio UKABILA HUO MKUU:llama::llama::flame::flame::flame::flame::hail::hail::hail:
 
Bora kumpa kura Mtikila na sio Lowassa.
sina muda wa kupoteza na m**f* wameshiba viroba na ganja hawana muda wa kutafakari,wanafikiri kwa kutumia mdomo!.CHAGUA MAGUFULI kama unataka TANZANIA bora!
 
itabaki ile ile yenye misingi ya baba wa taifa maana wanaoondoka ni WATU WACHAFU, MAJIZI, MAFISADI, MAJAMBAZI , WANAOJINYEA NA WASIO WAADILIFU, ivo watakaobaki ni wale WENYE AKILI TIMAMU, WAADILIFU, WAAMINIFU, WENYE HOFU YA MUNGU KWA KUWA IKULU NI MAHALI PATAKATIFU. nadhani umeelewa sasa dogo
Hao waliobaki ndo waluouza loliondo,wamekufanya una elimu duni kingereza hujui japo unajiita msomi,wamesomba ela za escrow kwa magunia,wameuwa viwanda na mashirika yote nchini,nk. Hivyo Endelea kubaki usingizini ukija kumbuka shuka kumekuchwa
 
Muda wa kuchagua m2 hatuna Kwani tangu kitambo tumechagua wa2 wakaishia ku2geuka sasa ni mwisho..tunataka tz ya watz cyo ya m2 tunachagua mabadriko ..tunamchagua EL Kwa sababu ameungana na imani ye2 kuwa katba mpya ndiyo jawabu ityowarudishia watz maamz ya taifa lao na siyo kukabidhi nguvu ya maamz ya nchi yenye wa zaidi ya 40m Kwa kichwa kimoja..elewa tuna akil timamu ...
 
acha watoroke waje! ila chenge akija.. litakuwa suala lingine maana tetesi na ndoto hazina mipaka!
 
Watz tucjal lengo le2 ni katba mpya ,tukiisuka vizuri yeyote lazma anyooshe maelezo ...maamz yakiletwa kwa uma maana yake kila kitu kitapita bungeni pamoja na jopo la wataalamu..tabia za kusaini mikataba m2 mmoja hotelin itaisha ambayo ndo imewapa minya hawa jamaa kutupiga
 
wee kweli unaonekana unaongea ukiwa uko period, IVI USOMI NI KUONGEA KIINGEREZA?
wapi nimesema mimi ni MSOMI
usiongee emotional wee mwanamke, kuwa LOGICAL
dizaini kama hujiamini hivi sijui hujafua chupi
VIJANA WA UKAWA MNAKUAGA NA MIHEMKO SANA KAMA NG'OMBE ALIYEPATA HEAT ANAHITAJI DUME NDIO MAANA MMEKUWA HAMUELEWI HOJA NA KUBAKI KUSHAMBULIA KILA KITU UNACHOKISIKIA HATA KAMA TUNAMTETEA MMEO ILA WEWE UNAONA ANAONEWA. TULIA UZAE MAANA MIMBA YAKO KUBWA TAYARI

Hao waliobaki ndo waluouza loliondo,wamekufanya una elimu duni kingereza hujui japo unajiita msomi,wamesomba ela za escrow kwa magunia,wameuwa viwanda na mashirika yote nchini,nk. Hivyo Endelea kubaki usingizini ukija kumbuka shuka kumekuchwa
 
Bora kumpa kura Mtikila na sio Lowassa.
sina muda wa kupoteza na m**f* wameshiba viroba na ganja hawana muda wa kutafakari,wanafikiri kwa kutumia mdomo!.CHAGUA MAGUFULI kama unataka TANZANIA bora!

Tatizo ukishaanza kugongwa 0713...Mpaka akili yako inaruka, Na kama ushakunywa damu rangi ya kijani itakuchukua muda mrefu sana kuelimika!
 
Back
Top Bottom