black short
JF-Expert Member
- Nov 16, 2019
- 519
- 969
siasia inalipa
hayo ni mawazo ya kimaskini sana chadema sijui mnakosea wapi yaani unamjadiri mtu ambaye yuko madarakani ana acess ya kukopa ana marafiki wenye pesa unashangaa vitu kama hivyo? njaa itawauwa fanyeni kazi acheni kujadiri utajiri wa watuHuyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.
Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
mwenyekiti wa saccoss anakula pekeyake wao kazi yao kuimba na kumsifia tuvushe mwenzao anakula chadema hawana jipya wameshindwa hata kuwa toa kina mdee bungeni walianza kwa mbwembwe nyiingi wametulia kama majiKuna wakati Riz1 alisingiziwa kila aina ya uzushi na kila dili tuliaminishwa ndio mhusika mkuu, kila jengo tuliambiwa ni mali ya Riz1 ,kila kituo cha mafuta,kila lori na kila aina ya uchafu tuliambiwa ni Riz1,yote hayo kwa sababu baba yake alikuwa raisi, na hata hawa wa sasa wanasingiziwa na kwa maneno mengi kisa tunaambiwa walikuwa karibu na mwendazake, sasa na nyie mlio karibu na mwenyekiti wa SACCOSS tuanze kuwachunguza na kuwasema kuwa matapeli,wakwepa kodi sio?
Huyu alipiga pesa sn pale MereraniNdo alikuwa DC huyu au ni ndugu yake?
Tunaweza kujiuliza ana shughuli gani kwanza inayomuingizia hela?
Hiyo TCC Changombe ilikuwa inauzwa kwa bei gani?
Kuwa na club kama Gwambina itakugharimu pesa ngapi?
Pengine unakuta kachukua mkopo benki.. tujiulize embu
Kwa hiyo viongozi wengine hawana access ya kukopa isipokuwa yeye tu ndiyo mjanja?hayo ni mawazo ya kimaskini sana chadema sijui mnakosea wapi yaani unamjadiri mtu ambaye yuko madarakani ana acess ya kukopa ana marafiki wenye pesa unashangaa vitu kama hivyo? njaa itawauwa fanyeni kazi acheni kujadiri utajiri wa watu
umemzungumzia huyo ndiyo maana nimekwambia kwa huyo kama unataka weka na mwingine naye nitakupa sababu yaani ukiwa na akili za kushabikia chadema na akili zinaisha kichwani sijui mnakwama wapi nyieKwa hiyo viongozi wengine hawana access ya kukopa isipokuwa yeye tu ndiyo mjanja?
Siamini kama una akili timamu, umeambiwa onyesha biashara anazofanya toka akiwa mwalimu mkuu, DC, RC na sasa mbunge. upumbavu ni kuibiwa huku unamshagilia anayekuibia.umemzungumzia huyo ndiyo maana nimekwambia kwa huyo kama unataka weka na mwingine naye nitakupa sababu yaani ukiwa na akili za kushabikia chadema na akili zinaisha kichwani sijui mnakwama wapi nyie
NJAA MBAYA SANA MNA NJAA HADI MNANUKASiamini kama una akili timamu, umeambiwa onyesha biashara anazofanya toka akiwa mwalimu mkuu, DC, RC na sasa mbunge. upumbavu ni kuibiwa huku unamshagilia anayekuibia.
Kaa pembeni wanaume tujadili, kaa na wanawake wenzakoNJAA MBAYA SANA MNA NJAA HADI MNANUKA
Utakuwaje mkuu wa mkoa manyara tz ipo usiwe tajiri?Binafsi kila nikijaribu sikiliza hizo 'dhambi'za mnyeti naona Tu 'katajirika Sana kwa MDA mfupi'..
Kuna uporaji kafanya kwa wafanyabiashara?
Kuna watu aliwateka?
Alibaka?.
Alimzuia mtu kufanya biashara?
Nina Nina wasiwasi zaidi ya wivu na roho ya kwanini ...hakuna lolote lingine la maana..
Nchi hii kiongozi wa serikalini ni zaidi ya mfanyabiashara....Eehh.....nchi hii mwenye uwanja binafsi was mpira ni Bakhresa wa Azam, inafahamika ni tajiri, Mnyeti alipata wapi pesa? Nasikia timu imechoka kiuchumi,hawalipwi
Watz wengi nibwachuuzi,watz wengi wakipata pesa ni kyzichungulia kwenye acc na kujenga majumba ya kupangisha.Eehh.....nchi hii mwenye uwanja binafsi was mpira ni Bakhresa wa Azam, inafahamika ni tajiri, Mnyeti alipata wapi pesa? Nasikia timu imechoka kiuchumi,hawalipwi
Watu wanaunganisha matukio.Binafsi kila nikijaribu sikiliza hizo 'dhambi'za mnyeti naona Tu 'katajirika Sana kwa MDA mfupi'..
Kuna uporaji kafanya kwa wafanyabiashara?
Kuna watu aliwateka?
Alibaka?.
Alimzuia mtu kufanya biashara?
Nina Nina wasiwasi zaidi ya wivu na roho ya kwanini ...hakuna lolote lingine la maana..